issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Mwenye akili timamu hateki wagombea na yy akajipitisha bila kupigwaJidanganyeni tu na hivi vipicha mnavyopiga kwa angle fulani fulani uhuni wenu kwisha hakuna wa kuwapa nchi wahuni watz Wana akili timamu
Ndio jitu lilokua halijapita shule ndio lilivoIla Mchato ni mtu wa hasira hasira sana.
Mume MPA ridhaa au kajipa mwenyewe maana katoa fomu moja tuu na hakuna hata MTU mwengine alie pewa fomuYaani Unachekesha KITOTO kweli....Una CT SCAN na MRI ya Kuiona mioyo ya WANACCM tulio wengi nje ya Uongozi na uteule uusemao?!!!
Unakuza Mambo Kujifurahisha na kusahau kuwa chama hiki ni cha sisi wakulima na Wafanyakazi wa kawaida kabisa.....
MAGUFULI tumempa ridhaa ya Uongozi Kama tunavyotaka kumpa sasa na akimaliza ataondoka na tumpe mwingine....
CCM ni IMANI,wewe endelea KUJIFURAHISHA....
Vitoto hivo nikidogo kulinganisha na wale walio fuata wasaniiMbona hii picha ya mkutano naona vitoto tu!!,
Mnajisahau sana kuedit Erythrocyte
Wao siyo wauwaji wala watekaji wagombea wanao rejesha fomuWw chadema umeipendea nini?
Ndio Mana Nikasema CCM Ni IMANI...Mume MPA ridhaa au kajipa mwenyewe maana katoa fomu moja tuu na hakuna hata MTU mwengine alie pewa fomu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Drone zimekatazwa mpaka zisajiliwe,ndio ujue una support mafala!!naomba Aerial picture tafadhali
CCM ni chama cha kijamaa katika katiba yao, but in reality ni "genge la wanyang'anyi" hahaha...Ndio Mana Nikasema CCM Ni IMANI...
Nilitegemea Uniulize Ni IMANI GANI?!!!
Kinyume chake Uliposikia ni IMANI ukadhani ULIYONAYO...ama UNAYOIJUA.....
Ninakuambia hv>
👉Imani ya KWETU Tunamheshimu MWENYEKITI kwa kuufuata UTARATIBU wa kwetu...tuliouasisi na kujizoeza kutoka historia ya vyama vya KIJAMAA...
👉Mwenyekiti MAGUFULI kamwe hana UWEZO wa kuiteka CCM...HAWEZI kuiteka "Imani" YA CCM...kamwe kamwe na HATOTOKEA Mwenyekiti wa HIVYO abadaa...
👆👆👆
Tuliza AKILI HAPO
Unajitekenya na kucheka?!!CCM ni chama cha kijamaa katika katiba yao, but in reality ni "genge la wanyang'anyi" hahaha...
Chama kina wenyewe kile...
Kutoka wabunge 70 mpaka 2.
Oktoba 28 ushindi wa ccm ni asilimia 98
Huko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Nope.. Kama ulikua hujui stroke anafanya kazi ya uhouseboy kwa mbunge wa ccmHivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!
Hata hao 2,tia maji tia maji.Kutoka wabunge 70 mpaka 2.
Hajarelax kabisa yani.