Kweli ccm ina njaa ya watu.
Hawa ndio watu wa kuandika mtandaoni eti upinzani unafutika!.
Hawa ni wanachama wa ccm, tena ni wachache sana maskini kama ningelikuwa mimi ningepotezea.
Jifunzeni kwa CHADEMA. Mbunge wa CHaDEMA akikohoa tu, umati a watu wanakosa hata pa kuweka miguu.
Mbona huyu raisi wenu watu wachche sana tena nyumbani kwake? Kwingine hali niaje?
Hapa kuna tatizo tena kubwa!.
Maskini mama magufli mwalimu wa watu hata kupunga mkono hajui!. Hawajafundisha wanamwacha aabike mbele kwa mbele. Anapunga mkono kama anafukuza kuku kwenye ulezi!.
Poleni ccm.
Watanzania tuliwaamini, mafisadi wakawapenda lakini shetani kawapenda zaidi.