Umeongea kwa kificho sana lakini nipende kikuhakikishia hiki ulichoandika ni sahihi na ndio ukweli wenyewe.Sifuatilii mambo haya lakini niliwahi sikia wimbo mmoja akiimba eti "kuchapiwa ni siri ya ndani" sasa nini ajabu!?
Alafu kama wengine wako tayari kuwatoa kafara hadi watoto wao ili 'nyote zing'ae', kuna shida gani sasa kama sharti la kung'arisha nyota kwa kumruhusu mama kufanya haya!? Hebu wacha tuiite hii opportunity cost!
Am real man, kwann mnabishania vitu ambavyo havina faida upande wenu kivile hadi mnafikia hatua ya kutoleana mapovu, kama mm kuuliza hvyo kunaonyesha sio real man basi sawa ila hata Bible inasema "Heri mpatanishi maana atauruthi ufalme wa mbingu"Inabidi ujiangalie upya,ukikuta wadada wana ligi kaa kando kama kwel wewe ni real man
Yaani mke S.A mume bongo,. X S.A unategemea nn zari na Ivan bado wanaendelea kufanya yao , nkaumbuka kuna Picha zilizagaa Ivan na zari walituma Picha kila mtu kwa wakati wake lkn swimming pool moja mondi kama kawaida yake keshapewa limbwata hasemi kituKumbuka siku dogo alivyonunua nyumba South na kurusha hewani meseji za kumsimanga mume mwenzie, Zari alivyomuomba msamaha X wake, zile meseji ukisoma utagundua mengi Ivan na huyo mwanamke kama wameshawahi kuwa waganga wa kienyeji wanaweza kufanya lolote. Kijana kaingi che wehu.
Am real man, kwann mnabishania vitu ambavyo havina faida upande wenu kivile hadi mnafikia hatua ya kutoleana mapovu, kama mm kuuliza hvyo kunaonyesha sio real man basi sawa ila hata Bible inasema "Heri mpatanishi maana atauruthi ufalme wa mbingu"
[emoji2] [emoji2] [emoji2]sawa mkuuNakushauri pia ubadilishe avatar ili uweze kueleweka na jamii na kututoa was was wana nchi wenzio
Kama mnaona hayo mabishano yenu yana faida kwenye nyanja yoyote ile kwa upande wenu endeleeniAiseeee
Kama diamond analichukulia kawaida hili, basi wanaume wa kweli wanapunguaHivi vitu kama mwanaume nafikiri vinauma sana hasa pale unaposikia watu wananong'ona ati mtoto sio wako..
Sasa hapa wanatangaza kabisa mtandaoni.. Inauma sana!
Ukweli wa yote wanaujua diamond na mkewe!
ahahahaha mkuuMtavunja ndoa za watu jamani, nyumba ya south inajina la mke ataikosa
[emoji87] [emoji87]Athanteee hapo mambo frex sasa naweza hata kukuchum
Uliwaza nn mkuu[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Nadhan sikuwa peke yangu
Mkuu ni kweli he's a gay naye alishawahi kukiri ila mm iliniuma sana navomkubali huyu jamaaHapana Wentworth wana mzingishia tu hana tabia hizo kabisa
Now thts cute[emoji2] [emoji2] [emoji2]sawa mkuu
Hapo nimekuelewaSifuatilii mambo haya lakini niliwahi sikia wimbo mmoja akiimba eti "kuchapiwa ni siri ya ndani" sasa nini ajabu!?
Alafu kama wengine wako tayari kuwatoa kafara hadi watoto wao ili 'nyote zing'ae', kuna shida gani sasa kama sharti la kung'arisha nyota kwa kumruhusu mama kufanya haya!? Hebu wacha tuiite hii opportunity cost!
Ok but all in all namkubali sana sidhan kama kuna celebrity mwingine naye mkubali zaid ya huyoMkuu ni kweli he's a gay naye alishawahi kukiri ila mm iliniuma sana navomkubali huyu jamaa
"Kitanda hakizai haramu," waswahili walisema.Sasa kama kitanda kina uhai mpaka kizae,mimi sijui.View attachment 474822
Mimi binafsi nimekosa cha kuongea kama diamond anaamini huyu Mtoto ni wa kwake basi hili limbwata sio La nchi hii, Ila huyu Ivan ana damu kali sana