mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Hamna lolote tumemsovia sana papers pale ITA-TRAAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna lolote tumemsovia sana papers pale ITA-TRAAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Huyo dc anasura ya baba yake
Wake wa Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso kutoka kushoto Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakifuatilia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023
Julius Nyerere akiwa Rais Mdogo wake John alikuwa Mbunge wa Taifa
Baba yake ndio nani?Huyo dc anasura ya baba yake
Hata mm ndio hivyo navyoelewa baada ya huyo dc kubanwa na majukumu(kisingizio)akamruhusu mume wake aoe mke mwingine yy akarudi kwa wa level zake ambae ni Juma AwesoHiyo ndoa yake aliyoruhusu mume aongeze mke ilivunjika; ndiyo kuja kuolewa na Aweso kama mke wa 2
Alikuwa anatafuta wa level zakemke mkubwa ni pisi kali htr
huyo zey kama nilimuona akihojiwa cku moja akasema amemruhusu mume wake aoe na kanzu ya kuolea ni yeye alimnunulia
kwa hyo kilimshinda nn akaamua kuingia kwa mwenzie??
au ndo alikuwa anatafta sababu ya kuachika?
wanawake tuna plan ndefu masha Allah.
WemaVyeo hivyo wamekuwa navyo kabla ya kuoana
nakukumbusha au nakufahamisha kama ulikuwa hujui
Sitta akiwa Spika wa Bunge Mkewe Magreth alikuwa Waziri wa Elimu
Jakaya akiwa Rais Mtoto wake alikuwa Mbunge
Mbowe akiwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mzazi mwenzie Joyce amekuwa Mbunge wa kuteuliwa na chama
Pius Msekwa akiwa Spika, Mkewe Anna Abdalla alikuwa Waziri wa Ujenzi
Julius Nyerere akiwa Rais Mdogo wake John alikuwa Mbunge wa Taifa
Rashid Kawawa akiwa Waziri na Makamu wa pili wa Rais, Mkewe Sofia alikuwa Mwenyekiti wa UWT Taifa
Mzee Mtei akiwa Chairman wa Chadema, Mkwewe Freeman alikuwa Mwenyekiti wa Bavicha
Mchungaji Mtikila akiwa Mwenyekiti wa DP, Mkewe alikuwa Katibu Mkuu wa chama hicho hicho
Zitto akiwa Mbunge na Naibu Katibu Mkuu Chadema , Mama yake Mzazi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa wa chadema
Magufuli akiwa Rais, Mpwa wake alikuwa Paymaster General wa Nchi
Kijazi mmoja akiwa Katibu Mkuu kiongozi Ikulu nduguye mmoja alikuwa TANAPA kama Mkuu na akawa pia Naibu Katibu Maliasili kwa wakati mmoja
Ndesapesa na Binti yake washakuwa wabunge kwa wakati mmoja kupitia chama kimoja
Dah!..Wameshiba, mi naona ni kama ni mke mmoja, ukiwa na wanawake zaidi ya mmoja inatakiwa wawe tofauti ili ukiwa nao uwe umafili tofauti sasa hao wote wanene
Eti wanasema kiwa hupaswi kulala nao pamoja upige threesome ...labda wajuzi watupe ukweli wa mamboWenye ndoa mnainjoi thana
Imagine ukigeuka ipo ukigalauka ipo.😋😋
Yes ni busaraDC Bagamoyo?
Hivi kweli kwenye nchi masikini ya watu milioni 60, 55 hawana ajira, ni busara kuipa familia moja uwaziri na u-DC ?
Kama jamaa kaja nao wazi vipi mafichoni ( private ).Eti wanasema kiwa hupaswi kulala nao pamoja upige threesome ...labda wajuzi watupe ukweli wa mambo
Huyu ni MKE WA PILI sio BI MKUBWA.Anaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Jamaa anaogelea mwenye sea or boobs ass and fatKama jamaa kaja nao wazi vipi mafichoni ( private ).
We huoni uso unawaka tuu na zile stress za hakuna maji hakuna maji.Jamaa anaogelea mwenye sea or boobs ass and fat
Kweli. Hizo ni picha za kisiasa tu.Ila wanawake hawawezi Kuelewana Kama wanashare Nunu [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app