CalvinD
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 246
- 355
Zainab Abdallah issa ni bimdogo mkuuAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zainab Abdallah issa ni bimdogo mkuuAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Michepuko wake ni weupe anzia Sundi Malomo,Kabula Enock,Angela Kairuki n.kAnapenda weupe halafu mkewe mweusi....marehemu alikuwa kiboko.
DC Bagamoyo?
Hivi kweli kwenye nchi masikini ya watu milioni 50 wasio na ajira, ni busara kuipa familia moja uwaziri na u-DC ?
Yaani dunia haiwezi kuisha maajabuKwa hiyo Zainabu akatoka kuwa bi mkubwa akaamua kwenda kwa Aweso kuwa bi mdogo. Duh.
Kunywa soda kwa bajeti yako🤣🤣Vyeo hivyo wamekuwa navyo kabla ya kuoana
nakukumbusha au nakufahamisha kama ulikuwa hujui
Sitta akiwa Spika wa Bunge Mkewe Magreth alikuwa Waziri wa Elimu
Jakaya akiwa Rais Mtoto wake alikuwa Mbunge
Mbowe akiwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mzazi mwenzie Joyce amekuwa Mbunge wa kuteuliwa na chama
Pius Msekwa akiwa Spika, Mkewe Anna Abdalla alikuwa Waziri wa Ujenzi
Julius Nyerere akiwa Rais Mdogo wake John alikuwa Mbunge wa Taifa
Rashid Kawawa akiwa Waziri na Makamu wa pili wa Rais, Mkewe Sofia alikuwa Mwenyekiti wa UWT Taifa
Mzee Mtei akiwa Chairman wa Chadema, Mkwewe Freeman alikuwa Mwenyekiti wa Bavicha
Mchungaji Mtikila akiwa Mwenyekiti wa DP, Mkewe alikuwa Katibu Mkuu wa chama hicho hicho
Zitto akiwa Mbunge na Naibu Katibu Mkuu Chadema , Mama yake Mzazi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa wa chadema
Magufuli akiwa Rais, Mpwa wake alikuwa Paymaster General wa Nchi
Kijazi mmoja akiwa Katibu Mkuu kiongozi Ikulu nduguye mmoja alikuwa TANAPA kama Mkuu na akawa pia Naibu Katibu Maliasili kwa wakati mmoja
Ndesapesa na Binti yake washakuwa wabunge kwa wakati mmoja kupitia chama kimoja
Huyo mdogoAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Ni ujinga kuoa wake wawili halafu wanafanana maumbo na rangi.
Mke mkubwa sio mkuu wa wilaya mke mdogo zainabu ndio mkuu wa wilayaMkuu wa wilaya Bagamoyo
Ndio wote hao wajingaHujawahi kuona mtu ana Range Rover mbili?
Wakati kuna kila aina ya usafiri?
You know why ?
Tatizo mizigoInaoneka huyu Waziri anapenda sana wanawake wa duara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Buraza Juma ndio anabiringita hizo neema za allah
Hivi Angela kairuki yuko wapi?Michepuko wake ni weupe anzia Sundi Malomo,Kabula Enock,Angela Kairuki n.k