Picha: Wake wawili wa Waziri Juma Aweso wakiwa Bungeni

Picha: Wake wawili wa Waziri Juma Aweso wakiwa Bungeni

Vyeo hivyo wamekuwa navyo kabla ya kuoana

nakukumbusha au nakufahamisha kama ulikuwa hujui

Sitta akiwa Spika wa Bunge Mkewe Magreth alikuwa Waziri wa Elimu

Jakaya akiwa Rais Mtoto wake alikuwa Mbunge


Mbowe akiwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mzazi mwenzie Joyce amekuwa Mbunge wa kuteuliwa na chama

Pius Msekwa akiwa Spika, Mkewe Anna Abdalla alikuwa Waziri wa Ujenzi

Julius Nyerere akiwa Rais Mdogo wake John alikuwa Mbunge wa Taifa

Rashid Kawawa akiwa Waziri na Makamu wa pili wa Rais, Mkewe Sofia alikuwa Mwenyekiti wa UWT Taifa

Mzee Mtei akiwa Chairman wa Chadema, Mkwewe Freeman alikuwa Mwenyekiti wa Bavicha


Mchungaji Mtikila akiwa Mwenyekiti wa DP, Mkewe alikuwa Katibu Mkuu wa chama hicho hicho

Zitto akiwa Mbunge na Naibu Katibu Mkuu Chadema , Mama yake Mzazi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa wa chadema

Magufuli akiwa Rais, Mpwa wake alikuwa Paymaster General wa Nchi

Kijazi mmoja akiwa Katibu Mkuu kiongozi Ikulu nduguye mmoja alikuwa TANAPA kama Mkuu na akawa pia Naibu Katibu Maliasili kwa wakati mmoja

Ndesapesa na Binti yake washakuwa wabunge kwa wakati mmoja kupitia chama kimoja
Nawaomba kama ma first ladies wajao
 
Kwa hiyo Zainabu akatoka kuwa bi mkubwa akaamua kwenda kwa Aweso kuwa bi mdogo. Duh.
Haya mambo ya ndani yana changamoto zake nyingi ambazo watu wanao watazama kwa nje hawawezi wakazijua.
Yawezekana Bi Zainab ali ipambania sana doa yake ya kwanza lakini akaondolewa.
Pia yawezekana alipokutana na Aweso, wakakubaliana na kisha akakubali kushuka cheo (yamkini alipenda kua kwenye ndoa)
 
Back
Top Bottom