Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Michepuko wake ni weupe anzia Sundi Malomo,Kabula Enock,Angela Kairuki n.k
Na Yule DC ?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michepuko wake ni weupe anzia Sundi Malomo,Kabula Enock,Angela Kairuki n.k
Huyu ni bi mdogoAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Dc wa bagamoyo ni ni mdogoAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Wa bagamoyo ni mdogo. King'ang'anizi balaa. Yani alimganda Aweso mnooooMkuu wa wilaya Bagamoyo
Usipagawe na bodyIla wanaume 🤣🤣🤣🤣mke mkubwa ilivyo pisi hivyo😂😂😂ama kweli..ila ukewenza 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shangaa nawee.Ila wanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mke mkubwa ilivyo pisi hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]ama kweli..ila ukewenza [emoji23][emoji23]
Tell them..Usipagawe na body
Body ya kuvutia wakat engine mbovu hakuna anayetaka hivyo
Huyu mwingine pua Kama kitako Cha baskeli
Basi wakristo hapa wnaona donge balaa...
Wake wa Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso kutoka kushoto Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakifuatilia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023
Hiyo ndoa yake aliyoruhusu mume aongeze mke ilivunjika; ndiyo kuja kuolewa na Aweso kama mke wa 2Mke mkubwa ni bi zainab dada yake mke wa manara baada ya kubana na majukumu ndo akamruhusu aongeze mke ndo huyo kauthar CLOUDS fm wamewaingiza changa aliyekuwa mkuu wa wilaya pangani ndo mkubwa.
kipenda roho, ni sawa na kuuliza mtu kwa nini anaagiza chapati 3 kwa nini asiagize chapati 1, andazi 1 na kitumbua ki1 ikiwa alitaka vitafunio vi3. Yeye labda alipenda tofauti ya rangi tu ila mambo yetu yawe pale pale.Wameshiba, mi naona ni kama ni mke mmoja, ukiwa na wanawake zaidi ya mmoja inatakiwa wawe tofauti ili ukiwa nao uwe umafili tofauti sasa hao wote wanene
Kumbe basi nilichanganya mambo hapo sawa.Hiyo ndoa yake aliyoruhusu mume aongeze mke ilivunjika; ndiyo kuja kuolewa na Aweso kama mke wa 2
Yeah ndiyo hivyo mkuu.Kumbe basi nilichanganya mambo hapo sawa.
Michelin tireHuyo bi mkubwa ni chombooooo, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hujakosea uko sahihi kabisaVyeo hivyo wamekuwa navyo kabla ya kuoana
nakukumbusha au nakufahamisha kama ulikuwa hujui
Sitta akiwa Spika wa Bunge Mkewe Magreth alikuwa Waziri wa Elimu
Jakaya akiwa Rais Mtoto wake alikuwa Mbunge
Mbowe akiwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mzazi mwenzie Joyce amekuwa Mbunge wa kuteuliwa na chama
Pius Msekwa akiwa Spika, Mkewe Anna Abdalla alikuwa Waziri wa Ujenzi
Julius Nyerere akiwa Rais Mdogo wake John alikuwa Mbunge wa Taifa
Rashid Kawawa akiwa Waziri na Makamu wa pili wa Rais, Mkewe Sofia alikuwa Mwenyekiti wa UWT Taifa
Mzee Mtei akiwa Chairman wa Chadema, Mkwewe Freeman alikuwa Mwenyekiti wa Bavicha
Mchungaji Mtikila akiwa Mwenyekiti wa DP, Mkewe alikuwa Katibu Mkuu wa chama hicho hicho
Zitto akiwa Mbunge na Naibu Katibu Mkuu Chadema , Mama yake Mzazi alikuwa Mbunge wa kuteuliwa wa chadema
Magufuli akiwa Rais, Mpwa wake alikuwa Paymaster General wa Nchi
Kijazi mmoja akiwa Katibu Mkuu kiongozi Ikulu nduguye mmoja alikuwa TANAPA kama Mkuu na akawa pia Naibu Katibu Maliasili kwa wakati mmoja
Ndesapesa na Binti yake washakuwa wabunge kwa wakati mmoja kupitia chama kimoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji872][emoji872] duuh! Huyo mke mkubwa yuko wapi? Sioni chombo hapo
Bi mkubwa Sio Zainab nduguAnaitwa Zainab Abdallah, DC wa Bagamoyo
Au mimi sioni vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]