Picha: Wake wawili wa Waziri Juma Aweso wakiwa Bungeni

mke mkubwa ni pisi kali htr

huyo zey kama nilimuona akihojiwa cku moja akasema amemruhusu mume wake aoe na kanzu ya kuolea ni yeye alimnunulia

kwa hyo kilimshinda nn akaamua kuingia kwa mwenzie??

au ndo alikuwa anatafta sababu ya kuachika?

wanawake tuna plan ndefu masha Allah.
 
Wenye ndoa mnainjoi thana
Imagine ukigeuka ipo ukigalauka ipo.😋😋
 
Alikuwa anatafuta wa level zake
 
Wema
 


Ndugu Zangu Oeni Mke Mmoja Analemaza Akili

 
Ngoja awapelekee wenzake wachukue namba za simu.

90% ya wanaume huvunja ndoa zao wenyewe kwa kuwa expose wake zao, maeneo yao ya kazi, kuwatambulisha kwa mkuu wa kazi, kuwapeleka kwenye nyumba za starehe nk
 
Jamaa anaogelea mwenye sea or boobs ass and fat
We huoni uso unawaka tuu na zile stress za hakuna maji hakuna maji.
Ebhana ndoa huondoa mikunjamano ya paji la uso.
#SioNdoaZote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…