PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

Bado kidogo tu... jeshi la polisi lijitathimini namna linafanya utendaji kazi wake, limepoteza uaminifu , askari wake wanaonekana kama majambazi mitaani,
Zamani ilikuwa mtuhumiwa akijaribu kuleta upinzani wananchi wanawasaidia polisi. Hali imekuwa tofauti...
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Huyo Askari aliyevaa kanzu ndo askari kanzu au ametokea kuswali?
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Duh,
Ukute ni watekaji hap..
Kwa sasa inafaa mtuhumiwa aambiwe kituo anachotakiwa, aende mwenyewe tena kwa kusindikizwa.

Polisi hawaaminiki tena.
Lucas Mwashambwa
 
Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo

Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Hao ni wa kupigwa tu na kuchomwa moto
 
Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo

Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Wahuni hao,pigeni mikanda
 
Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo

Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.
Safi kabisa
 
Back
Top Bottom