Ulimwengu ni fumbo, hakuna anayejua kiini, sababu ya uwepo wake, mwanzo wala mwisho wake.
Kukoseka kwa hivyo vyote kulimfanya mwanadamu atengeneze chanzo na kukiita mungu.(ambacho nacho hakijulikani mwanzo wala mwisho wake)
Hiki chanzo ni cha muda na hubadilika kadri ugunduzi wa kisayansi unavyoweka bayana baadhi ya yaliyojificha(uhalisia).