Picha ya Kufungulia mwaka 2025 hii hapa, Imepatikana Mikocheni


Wanafiki tu hawa, shenzy! Kwa namna Mbowe amekuwa analalamika; hao kwa kitendo hicho waende tu Bongo movie wote!
 
Uko sahihi, natamani tuendelee na utamaduni wa kuvumiliana kama hivi, nimeona juzi wakati wa mazishi ya rais wa marekani, trump na Obama wanapiga stori kama zote wakati ni Marais kutoka vyama tofauti.
 
Wanafiki tu hawa, shenzy! Kwa namna Mbowe amekuwa analalamika; hao kwa kitendo hicho waende tu Bongo movie wote!
Analalamikia nn ambacho kitafanya hata asikae meza moja na wenzake kwenye chama? Watakaoamua nani awe mwenyekiti ni wajumbe mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wangeandika Umoja daima wangeeleweka
 
Niliwaambiaga humu hawa jamaa siamini kama wanaweza kugombana kirahisi namna ile !
Baadhi ya Watu wakanibeza haya sasa yako wapi !

Niliwaambia watu wanachezeshwa ngoma mpaka wengine wanabinuka πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜„ !!
 
Wanagawana mbao hao, CDM kwisha kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…