Hata choo chenyewe hakufagia, alienda pale palestina hospital akafyeka vinyasi kidogo akasepa hakurudi tenaHata mimi nilimuomba Rais amsamehe mwanamke mwenzake, maana huyu si jangili, nyama alipewa tu, ampunguzie adhabu, mbona Mramba aliishia kufagia vyoo tu..
Usinitishie wewe, pumbavu mmoja, siku ndugu yako akiuawa na hao majangili utarudi hapa kuomba msamahaIpo siku yako utarudi kusoma hii comment yako kwa uchungu mkali sana, siku yako inakuja
Akauwe wanyama wengine tenaHata hao maaskari walioandikisha kesi mahakamani sijui wako vipi. Ilikuwa ni kitendo cha kutumia busara tu mama wa watu arudi kuhangaika na wanawe.
Jangili asamehewe kivipiTutajuaje sasa, watangaze hadharani basi huo msamaha
Akauwe wanyama wengine tena
Kuna watu wanataka kuingilia uhuru wa mahakama,hujui unachokiongea. Sheria imeweka immunity kwa mahakimu na majaji huwezi kuwashitaki kutokana na yale waliyoyafanya wakati wa utekelezaji wa kazi yake. ukimsulubu humu itakusaidia nini, na itamuumiza nini? si unapoteza muda wako tu.
Kwani swala ni mkubwa kama tembo..? Hoja yako ni dhaifu sanaKwa kumuangalia huyo mama ana uwezo wa kuua swala?
Home team Under 0.5 na imetoa.Amefanya kosa gani?
Kwani swala ni mkubwa kama tembo..? Hoja yako ni dhaifu sana
Mungu atamuinua tena
Kwenye hiyo picha unamuona jangili? Utarudi hapa.., na wewe sio wa kwanza.., ile comment yako utaisoma kwa kirumi na kilatiniUsinitishie wewe, pumbavu mmoja, siku ndugu yako akiuawa na hao majangili utarudi hapa kuomba msamaha
Hatobaki salama kamwe!Mungu atamuinua tena
Hakimu aliyetumwa kumkandamiza asidhani Mungu atamuacha salama
Mdogo wake Rostam Azizi Bwana Ikram Dr Magufuli alimwacha.hiyo nyama aliyokamatwa nayo thamani yake ni 900,000, kwanini tusichangishe mchango ili tulipe faini atoke? manake kwa upande mwengine hizo sheria tumezitunga wenyewe, na yeye sio kwamba hafahamu kwamba wanyamapori ni msala. sisi tuliozaliwa maporini tunajua tangu utoto wetu nyamapori ilitungiwa hadi jina kwasababu serikali ikikukuta nayo ni msala, hivyo ukikutwa nayo hata kama una njaa ni msala kwasababu sheria inafuata mkondo, haiangalii tajiri wala masikini. cha muhimu hapo ni aidha kuifuta hiyo sheria ili tuvamie tule swala wote, au la tumchangie huyo mama alipe faini kwasababu kosa aliloshitakiwa nalo lina option ya faini, hata kama ameenda gerezani tukienda kulipa faini anatoka hata kesho.
Watu makatiri Wanaishi na kuneemeka sana dunia hii.Mungu atamuinua tena
Hakimu aliyetumwa kumkandamiza asidhani Mungu atamuacha salama
Wewe wa ovyo kama hao .....Mnajua mashara ya kuua wanyama poli.kiholela ??
Hii ndo nilikuwa naizungumzua,wale wanawinda kabisa kama kichezo ya kawaidaNikiwaza wale waarabu wa OBC waliomilikishwa Loliondo na Ngorongoro wanavyoua Simba tema kwa kujiburudisha, yaani natamani kumtoa mtu koromeo..
manake kwa upande mwengine hizo sheria tumezitunga wenyewe, na yeye sio kwamba hafahamu kwamba wanyamapori ni msala.
Wewe FRANCIS DA DON soma hapakwasababu serikali ikikukuta nayo ni msala, hivyo ukikutwa nayo hata kama una njaa ni msala kwasababu sheria inafuata mkondo,
Kila mtuhumiwa akionewa huruma, nchi itatawalika hii..?Mnajua mashara ya kuua wanyama poli.kiholela ??
alilipa faini 200,000,000Mdogo wake Rostam Azizi Bwana Ikram Dr Magufuli alimwacha.