Picha ya uso wa mtu aliekata tamaa ya kuishi baada ya kuhukumiwa miaka 22 Jela

Picha ya uso wa mtu aliekata tamaa ya kuishi baada ya kuhukumiwa miaka 22 Jela

hujui unachokiongea. Sheria imeweka immunity kwa mahakimu na majaji huwezi kuwashitaki kutokana na yale waliyoyafanya wakati wa utekelezaji wa kazi yake. ukimsulubu humu itakusaidia nini, na itamuumiza nini? si unapoteza muda wako tu.
Kuna watu wanataka kuingilia uhuru wa mahakama,
 
Usinitishie wewe, pumbavu mmoja, siku ndugu yako akiuawa na hao majangili utarudi hapa kuomba msamaha
Kwenye hiyo picha unamuona jangili? Utarudi hapa.., na wewe sio wa kwanza.., ile comment yako utaisoma kwa kirumi na kilatini
 
hiyo nyama aliyokamatwa nayo thamani yake ni 900,000, kwanini tusichangishe mchango ili tulipe faini atoke? manake kwa upande mwengine hizo sheria tumezitunga wenyewe, na yeye sio kwamba hafahamu kwamba wanyamapori ni msala. sisi tuliozaliwa maporini tunajua tangu utoto wetu nyamapori ilitungiwa hadi jina kwasababu serikali ikikukuta nayo ni msala, hivyo ukikutwa nayo hata kama una njaa ni msala kwasababu sheria inafuata mkondo, haiangalii tajiri wala masikini. cha muhimu hapo ni aidha kuifuta hiyo sheria ili tuvamie tule swala wote, au la tumchangie huyo mama alipe faini kwasababu kosa aliloshitakiwa nalo lina option ya faini, hata kama ameenda gerezani tukienda kulipa faini anatoka hata kesho.
Mdogo wake Rostam Azizi Bwana Ikram Dr Magufuli alimwacha.
 
Majizi halisi yanayofilisi nchi hayafungwi, majizi yanayouza wanyama zetu tena kwa wingi hawafungwi.
 
Back
Top Bottom