Picha ya uso wa mtu aliekata tamaa ya kuishi baada ya kuhukumiwa miaka 22 Jela

Picha ya uso wa mtu aliekata tamaa ya kuishi baada ya kuhukumiwa miaka 22 Jela

Maana yake sheria inaruhusu faini, with or without plea bargain. huyo dada alipigwa faini ya kiasi gani akashindwa kulipa?
Sheria inataka uombe prea bargain kabla ya hukumu.sheria ina makosa ya faini tu.ya kufungwa tu na yanayotoa aidha kufungwa au faini.la huyu dada kwa kuwa hakuomba plea kosa lake na la mdogo ake Rustam yana kifungo tu hayana faini.
 
Sheria inataka uombe prea bargain kabla ya hukumu.sheria ina makosa ya faini tu.ya kufungwa tu na yanayotoa aidha kufungwa au faini.la huyu dada kwa kuwa hakuomba plea kosa lake na la mdogo ake Rustam yana kifungo tu hayana faini.
Hili kosa lina option ya faini. Hakimu ana mwanya wa kutoa hukumu ya faini bila kuombwa, maana plea bargain ni kwale wasiotaka kuendelea na kesi na hivyo inaenda moja kwa moja kwenye hukumu. Ila kesi inapoendeshwa na mtu akapatikana na koda basi hukumu ni kwa busara na hiruma ya hakimu kulingana na hali halisi ya mtuhumiwa. Mjane, watoto wa nne nk. Hakuna sababu ya kufanya ukatili wakati sheria imekupa mwanya wa kutumia busara
 
Hiyo picha ni ya mdada / Mbibi anaitwa Maria, ni mjane mwenye watoto wa 4

View attachment 2807066



View attachment 2807284

===========================
Update: 08/11/2023


==========================
View attachment 2808180

Haya, huyu hapa, Anaitwa Hakimu Mfawidhi Said Ally Mkasiwa
Hakimu ndio ametunga sheria? Mnapata maslahi gani na suala la huyo mwanamke? Huyo ni jangili wacha atumikie kifungo kwa mujibu wa sheria. Km vp nenda kwa niaba yake ye aachiliwe huru. Mnafki mkubwa kujifanya una huruma hata huyo mnyama aliyeuawa ana haki ya kuishi. Mnahangaika na hiyo picha kwa kuifanyia manuva. Eti mwanamke aliyechoka ma maisha, tuletee picha ya mamako tuone na tulinganishe. We unajuaje km mtu amechoka na maisha? Gerezani wako watu wengi mbona huleti picha zao. Acheni kutafuta umaarufu kwa njia ya kipuuzi km hizi. Kila mtu atii sheria za nchi.
 
Hakimu ndio ametunga sheria? Mnapata maslahi gani na suala la huyo mwanamke? Huyo ni jangili wacha atumikie kifungo kwa mujibu wa sheria. Km vp nenda kwa niaba yake ye aachiliwe huru. Mnafki mkubwa kujifanya una huruma hata huyo mnyama aliyeuawa ana haki ya kuishi. Mnahangaika na hiyo picha kwa kuifanyia manuva. Eti mwanamke aliyechoka ma maisha, tuletee picha ya mamako tuone na tulinganishe. We unajuaje km mtu amechoka na maisha? Gerezani wako watu wengi mbona huleti picha zao. Acheni kutafuta umaarufu kwa njia ya kipuuzi km hizi. Kila mtu atii sheria za nchi.
Sheria inayompa mwanya wa kumpiga faini kulingana na uchumi wake, kutumia busara na huruma, ameitumga yeye? Kwanini hajaitumia? Badala yake kamfanyia ukatili wa kutisha?!
Huyo mama anauwezo wa kuua swala?
Ipi consideration ya kwamba hiyo nyama alipewa tu, kwamba ni mjane anaetegemewa na watoto wa nne? Sheria imemoa hakimu nguvu n mwanya wa kuangalia na kuconsider hayo yote katika kutoa hukuki, na anatuhusiwa kumpiga faini baada ya kuangalia hayo yote, ila akafanya ukatili, why? Anaugomvi na huyo mjane?!
 
Hilo la kumchangia pia ni zuri sijui kwa upande wa watu wake wa karibu wana mpango gani, binafsi huyu mama roho inaniuma sana saana hasa ukisikia watu wanavyofisadi miradi na matumizi mabaya ya fedha za uma halafu mtu kama huyu anajitafutia kula ya wanae anahukumiwa miaka yote hiyo.

Mchango ukianza nitag mkuu nitaweka kile nitakachojaaliwa tumtoe huyu mama.

ROHO INANIUMA SAANA SAANA hii dhuluma kwa masikini tuu ndio wanaotenda makosa au kudhulumiwa ardhi na urithi wao.
mnafki huna lolote
 
Hili kosa lina option ya faini. Hakimu ana mwanya wa kutoa hukumu ya faini bila kuombwa, maana plea bargain ni kwale wasiotaka kuendelea na kesi na hivyo inaenda moja kwa moja kwenye hukumu. Ila kesi inapoendeshwa na mtu akapatikana na koda basi hukumu ni kwa busara na hiruma ya hakimu kulingana na hali halisi ya mtuhumiwa. Mjane, watoto wa nne nk. Hakuna sababu ya kufanya ukatili wakati sheria imekupa mwanya wa kutumia busara
Inaitwa description power.yaan maamuzi ya hiali ya hakimu.hayapaswi haojiwa huo ni utovu wa nidhamu dhidi ya mahakama .ww hujui details za kesi kwa hiyo heshimu hukumu hii sahihi.afu hata uwe na wajane 1000 kuna limit ya hakim kupunguza balaaa
 
Inaitwa description power.yaan maamuzi ya hiali ya hakimu.hayapaswi haojiwa huo ni utovu wa nidhamu dhidi ya mahakama .ww hujui details za kesi kwa hiyo heshimu hukumu hii sahihi.afu hata uwe na wajane 1000 kuna limit ya hakim kupunguza balaaa
Hiyo Discretion of power alivyoitumia ndio inasababisha nimuite shetani, yaani ni ‘Sadist’! Huwezi kufanya ushetani wakati unamwanya wa kutumia busara halafu uchekewe. Ana immunity ya kushtakiwa, ila hana immunity ya kuhojiwa na jamii, tunayo haki ya kukemea uovu katika jamii, hakuna utovu hapa, yeye ndiye kafanya utovu mkubwa dhidi ya utu na ubinadamu.

Halafu it seems we jamaa ni ‘Charltan’ mkubwa. Unajifanya unajua vitu kumbe hopeless.

1.) ‘Plea bargain’ unaita ‘Prea bargain’

2.) ‘Discretion of power’ unaita ‘Description power’

368DB316-C52A-4199-83A6-424A84B846B7.jpeg


Tumia kiswahili tu
 
Hakimu ndio ametunga sheria? Mnapata maslahi gani na suala la huyo mwanamke? Huyo ni jangili wacha atumikie kifungo kwa mujibu wa sheria. Km vp nenda kwa niaba yake ye aachiliwe huru. Mnafki mkubwa kujifanya una huruma hata huyo mnyama aliyeuawa ana haki ya kuishi. Mnahangaika na hiyo picha kwa kuifanyia manuva. Eti mwanamke aliyechoka ma maisha, tuletee picha ya mamako tuone na tulinganishe. We unajuaje km mtu amechoka na maisha? Gerezani wako watu wengi mbona huleti picha zao. Acheni kutafuta umaarufu kwa njia ya kipuuzi km hizi. Kila mtu atii sheria za nchi.
Tatizo mijitu haipendi utawala wa sheria .sheria Haitoi ukweli inatoa haki.inatoa justice sio truth
 
Tatizo mijitu haipendi utawala wa sheria .sheria Haitoi ukweli inatoa haki.inatoa justice sio truth
Sheria hiyo hiyo inasema apigwe fine (ya haki) kwa kuzingatia hali halisi ya mtuhumiwa.., kaiacha hiyo haki kafanya ukatili wa kutisha. Total injustice.
 
Mama alishatoa maelekezo kwa CWT kesi imeisha iyo...nikijua wapi panavuja marekebisho yafanyike...
 
Mama alishatoa maelekezo kwa CWT kesi imeisha iyo...nikijua wapi panavuja marekebisho yafanyike...
 
Hiyo picha ni ya mdada / Mbibi anaitwa Maria, ni mjane mwenye watoto wa 4

View attachment 2807066



View attachment 2807284

===========================
Update: 08/11/2023


==========================
View attachment 2808180

Haya, huyu hapa, Anaitwa Hakimu Mfawidhi Said Ally Mkasiwa

=========================
Update: 10/11/2023

Huyu hakimu asomewe albadri itapendeza sana
 
Back
Top Bottom