Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la mabinti wa siku hizi wanaforce kuolewa bila kutengeneza mazingira "halali" ya kuolewaTatizo la mabinti wa siku hizi wanaforce kuolewa bila kutengeneza mazingira ya kuolewa.
Ni kweli dada maana ndio jambo la kwanza kumvutia kidume ilaaaa.... hiyo ni sifa "mpito" haidumu aifikiriaye future hachukulii urembo kuwa ni kigezo kwa sanaa bali hutizama tabia na maadili ya bint husika ila urembo una nafasi yake pia.Sifa moja wapo ya mwanamke ni urembo pia[emoji4]
Au siyo....[emoji28]Tunapendaa saana kuwaoa lakini tatizo wengi wenu mnataka kutukalia vichwani, na pia wenyewe hampendani kwa maana tukitaka kuongeza wenzenu kihalali hamtaki, mnaona bora tuwe na michepuko!........mtasugua sana kwa style hiyo.
Endelea kusubiriWakwangu sijampata bado
Utasababisha sintofahamumakanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Uko sahihiHivi ni Wasichana wasioolewa au Wasichana ambao hawajaolewa
Umenyoosha KiswahiliHivi ni Wasichana wasioolewa au Wasichana ambao hawajaolewa
Katika usomaji hii tunaiita SCANNINGMmmh!wasio olewa mbona vifua vyao vingi vimepigwa pasi.
Hahaaaa. Wote wanaogopa ndoa. TehWanaume wenyewe wakuoa mbona hawapo....