Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Bange km Bange sio?Absolutely. Bangladesh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bange km Bange sio?Absolutely. Bangladesh.
Umeona eeh. Jamaa mwenyewe atakuwa ni mshirikina huyo, anatafuta wateja wa kuwamulika.Jina tu la mpandisha maudhui linatisha na maudhui yanatisha🤔
PIGA kibiriti uote mapunye Mwili mzimaKItachomeka vizuri tu , hayo mavitabu si mazuri aisee piga kiberiti mapema tu
Hayo kuyachoma mpaka church tu. Vinginevyo utakesha.KItachomeka vizuri tu , hayo mavitabu si mazuri aisee piga kiberiti mapema tu
Nakataa uislamu umepinga sana uchawi na shirki naweza kukuwekea aya nyingi tu zinazo thibitisha hayo hawa unaowaona wanajinadi kumiliki majini na uchawi tukienda kisheria ya dini ya kiislamu HAWAHESABIKI KAMA NI WAISLAMU maana shirki inamtoa mtu kwenye uislamu na dhambi yake ikiwa mtu amekufa bila ya kutubia basi haina msamaha hili lipo wazi.Hayo kuyachoma mpaka church tu. Vinginevyo utakesha.
Uislamu na uchawi ni kama pete na kidole. Zile albadiri ni ushirikina wa kiwango cha jehanamu.
Mambo ya Shekh Yahya hayo.
Wallahi kama ningekuwa nacho ningekichoma mbele yako unaanzaje kumuogopa kiumbe aliyeandika hicho kitabu badala ya Muumba wako?PIGA kibiriti uote mapunye Mwili mzima
Muandiko kama wa mudi hivi😂
Naona umemkana hadi Shekh Yahya. Uislamu ndiyo zao hizo. Siku hizi umepotoka tu kama Ukatoliki. Hao ni mama na binti yake.Nakataa uislamu umepinga sana uchawi na shirki naweza kukuwekea aya nyingi tu zinazo thibitisha hayo hawa unaowaona wanajinadi kumiliki majini na uchawi tukienda kisheria ya dini ya kiislamu HAWAHESABIKI KAMA NI WAISLAMU maana shirki inamtoa mtu kwenye uislamu na dhambi yake ikiwa mtu amekufa bila ya kutubia basi haina msamaha hili lipo wazi.
Hadithi zilikuwepo na ni maneno ya mtume muhammad (peace be upon him) na hadith mara nyingi zinafafanua hukmu za kwenye quran . pia kwenye hadith kuna ambazo ni dhaifu na ambazo ni swahih kutokana na mlolongo wa upokezi wake kwa kiarabu wanaita (sanad) hilo ni jambo ambalo lipo wazi na ndiyo maana wanawachuoni wa kiislamu wamekuwa wakizisoma na kuzijadili kwa miaka mingi hadi kufikia kuzitoa zile ambazo ni dhaifu na ambazo ni sahihi.Naona umemkana hadi Shekh Yahya. Uislamu ndiyo zao hizo. Siku hizi umepotoka tu kama Ukatoliki. Hao ni mama na binti yake.
Uislamu ulianza ukiwa safi. Lakini siku hizi una mapokeo kibao. Mara hadith???
Mudi huyo na kitabu chake mnachokifuata kule kwenye kurusha mawe kwenye Jiwe kubwa wengine 1300 wanakufa kisa kwenda kurusha Mawe tu Mudi sio mchezo ukienda PEPONI utapewa Majini 72Wallahi kama ningekuwa nacho ningekuwa nacho ningekichoma mbele ya macho yako unaanzaje kumuogopa kiumbe badala ya Muumba?
Mudi ndiyo nani? Tuanzie hapa kwanzaMudi huyo na kitabu chake mnachokifuata kule kwenye kurusha mawe kwenye Jiwe kubwa wengine 1300 wanakufa kisa kwenda kurusha Mawe tu Mudi sio mchezo ukienda PEPONI utapewa Majini 72
Sio vitabu vya akina kobazi hivi?
Sijajuq ila lugha naona ni yaoSio vitabu vya akina kobazi hivi?
Hapa mpaka Dr Sule.
Naona mnaniteta mshindwe kwa jina la yesuUmeona eeh. Jamaa mwenyewe atakuwa ni mshirikina huyo, anatafuta wateja wa kuwamulika.