Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,977
- 6,635
Hiyo ndo Elimu ambavyo fallen Angels waliwafundisha Binadamu, sema ipo Kwa kiarabu....!
Ukitaka kujua mtu anakana kilicho chake, check na comments.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndo Elimu ambavyo fallen Angels waliwafundisha Binadamu, sema ipo Kwa kiarabu....!
Na ni kwanini iwe kwa kiarabu na si lugha nyingine yoyoteHiyo ndo Elimu ambavyo fallen Angels waliwafundisha Binadamu, sema ipo Kwa kiarabu....!
Ukitaka kujua mtu anakana kilicho chake, check na comments.
Hii usipokua chizi basi unakua zezeta...
Dont you know mpaka karne ya 16 watu walikua wana graduate kwa lugha ya kiarabu sababu ndio wao wali advance kwenye elimu,kwenye vita vya crusade maji ya mto nile yakigeuka kuwa mekundu kwa wino wa vitabu.Google neno Andalusia usome habari zake utajijibu swal lako.weng hawana uelewa wa kukubal arabic ndio living language ukiachana na dead one Latin. Maneno ni meng weng hawana elimuNa ni kwanini iwe kwa kiarabu na si lugha nyingine yoyote
Inategemea tu na ustaarabu wa jamii husika na pia waliowatawala,,,ukienda kwa mchina au mrusi umwambie hayo mambo atakua hakuelewi,,, hapo umesema latin na arabic hao kwa upande mkubwa maeneo ambayo hizo lugha zimetumika kuanzia dini hadi tawala kuna nyakati zilikua zinapokelezana.......Dont you know mpaka karne ya 16 watu walikua wana graduate kwa lugha ya kiarabu sababu ndio wao wali advance kwenye elimu,kwenye vita vya crusade maji ya mto nile yakigeuka kuwa mekundu kwa wino wa vitabu.Google neno Andalusia usome habari zake utajijibu swal lako.weng hawana uelewa wa kukubal arabic ndio living language ukiachana na dead one Latin. Maneno ni meng weng hawana elimu
Kwa sababu Spirit zilizowafundisha zinaongea lugha Hiyo.Na ni kwanini iwe kwa kiarabu na si lugha nyingine yoyote
Hahahahahah. Bongo noma. Ukifa na stress ni uzembe wakoNdumba za kiarabu, nimeona moja ya kumtoa mtu busha