Nakumbuka siku ile alilalamika hadi akawaita na watu wa ITV lakini jamaa wakampora nyumbaTanu. Niliipanda ile yenye gorofa kwenda London aliiendesha Kaptain Mazura RIP. Huyu baba alilitumikia taifa Mkapa akamnyang'anya nyumba ambayo angenunua pale oysterbay. Mtoto wake akauawa kinyama wakati wa Kikwetwe na waliomuua ni wabongo.
Lilikuwa halina script ya kumsifia jiwe lileAlafu wa PR Air tanzania rudisheni lile Tangazo la miaka ile la Kilimanjaro lilikua tamu sana lilikua linatangaza hizi ndege
Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya
Angalia midude
View attachment 1246228View attachment 1246230
Kuna neno huwa nalipenda sana kwa wakati huu nalo ni....sijui wakati huo nao walikua wanakusanyika na kuipigia ngoma na wakata mauno au ilikua kimya kimya!... Sijui na nchi zingine wakinunua ndege uwa wanaandaa sherehe mpaka na ubwabwa unapikwa au ni sisi tu ndo tunaonekana wakuja!
NYUMBU UNITED katika ubora wako!!!!!!Tena magu alikuwa waziri akaziua, hadi akataka kufa na helkopta earport
Mkuu hii inaweza kutuandika history mpya na kumbukumbu za watu walio litumikia taifa na kukosa kukumbukwaTanu. Niliipanda ile yenye gorofa kwenda London aliiendesha Kaptain Mazura RIP. Huyu baba alilitumikia taifa Mkapa akamnyang'anya nyumba ambayo angenunua pale oysterbay. Mtoto wake akauawa kinyama wakati wa Kikwetwe na waliomuua ni wabongo.
Uzuri mnaoponda hapa hamtafika hata 50. Ni walewale wa 5 mnapost na kujijibu uzi unafika kurasa 10.
Mnataka Serikali inunue kimyakimya halafu zipotee kimyakimya baadae. Sasa hivi ni uwazi kila mtu aone ili baadae ahoji.
Ndiyo maana watu wengi hawakujua kuwa Tz ilikuwa na ndege kipindi cha nyuma mpaka Magu alipowaeleza. Na kitu kingine serikali lazima iwaambie wananchi wake kuhusu mafanikio yao ili wawe na kujivunia nchi yao.
Kingine, kwa sasa hatuzungumzii picha za ndege za kipindi cha Baba wa Taifa. Mambo ya kuzungumzia picha bila ndege yalikuwa awamu ya 4 na 3, sasa hivi tunazungumzia ndege halisi 11 za AirTz.
B 747 jumbo jetDuuuuh madude ya maaana kumbe yalikuwa Tanzania wengine tulikuwa tunachunga mbuzi na ng'ombe enzi hizo yakipita tunasema wazungu wanaenda mwezini.
Mpaka mengine double flow premium luxury, Engine 4
Kuna mtu anaitwa Mataka yule jamaa wa kuua kabisa akaenda kuingia mkataba na wa south africa hadi shirika likafa
Hivi wanaokusanyika kupokea ndege wale wananchi mnafahamu kama ni watu ambao ni mafukara na maskini kupita kiasi
Weka na alizonunua Mzee Ruksa, JK na Che Nkapa
Msijali CAG atapita na kutuletea ripoti ya shirika letu pendwa
Ile aliyoikwapua mzalendo Mzee Mapunda ndo ipi?
Hiyo kimya kimya ya Nyerere ndiyo aliitumia kuchota pesa zetu na kuzipeleka kwenye harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika kwa ajili ya legacy yake tu.