Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kwani Saudia ni Waislamu si wanawahadaa mazwazwa tuHuko ambapo 'uisram 'umeperekwa'. Mleta uzi ni hamnazo kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Saudia ni Waislamu si wanawahadaa mazwazwa tuHuko ambapo 'uisram 'umeperekwa'. Mleta uzi ni hamnazo kichwani
Iran night life kuna wanawake wengi tu wameachia nywele na wamevaa suruali... Haya manayosema si kweli...Iran itamaindi sana ardhi tukufu kunajisiwa na makafiri. Itataka kuiteka al kaaba iimiliki kwa utukufu wake
unataka kusema sasa kuna uhuru wa kutosha, hakuna sharia za kiislamIran night life kuna wanawake wengi tu wameachia nywele na wamevaa suruali... Haya manayosema si kweli...
Bata kwenye hizi nchi zenye Uarabu linaliwa sanaaa hata visiwani Zanzibar maeneo ya Nungwi Kiwengwa, PajeWarab wanajipakulia minyama tupu
Aliyeanzisha shule za kata na walimu wa vodafasta anatakiwa afungwe.Picha mbarimbari za Jenifa Lopez akiwa ndani ya Kingdom ya Waalab wa Saudi Arabia
Naona kumeanza kuchangamka mambo ni kwa ushahidi uislam wao waumepereka wapi?
View attachment 3152423View attachment 3152424View attachment 3152425View attachment 3152426
Iran hata utembelee leo muulize hata tax driver kama unataka beer anaweza kukuonyesha zinapouzwa, hotelini zipo pia... Na kuna maduka yapo yanauza beer...unataka kusema sasa kuna uhuru wa kutosha, hakuna sharia za kiislam
Samahi lakini Una mfahamu Groot yule wa kwenye movie za Marvel ambaye huwa anasema "Im Groot" akimaanisha kila kitu, au Gsm anavyosema "yanga bingwa" inabidi na wewe uanzishe lugha yako ya "Duh aiseee"Duh aiseee
Unasema kweli mkuu? Nawataman sana..nikienda huko nadhan nitakua nanukia K za waarabuIran night life kuna wanawake wengi tu wameachia nywele na wamevaa suruali... Haya manayosema si kweli...
Iran sio WaarabuMi ndo mana nampenda Iran kuliko taifa lolote la kiarabu..!
hawa saudia niliwatoa kwenye list yangu tangu walipoanza kuruhusu FBI walinde masjid al haram..!
Nasikia hawa jamaa na Kuwait wanna pwani nzuri sana nitembee kabla ya kurudi LindiIran night life kuna wanawake wengi tu wameachia nywele na wamevaa suruali... Haya manayosema si kweli...
mtasema ni waajemi, ni sawa na kusema wasomali si waafrikaIran sio Waarabu
Unapata tu wanawake wa kiajemi wapo tele wamejaa na akikuelewa unakuja naye hadi bongo... Kila la kheri.Unasema kweli mkuu? Nawataman sana..nikienda huko nadhan nitakua nanukia K za waarabu