Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.

Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.

MY TAKE:
Damu ya Mtu haiendi bure.

Pia soma:

Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo

WANANCHI WALIOJERUHIWA NA POLISI KATIKA KIJIJI CHA OLOLOSKWAN KWA RISASI TAREHE 10 JUNI 2022

1 Ngormoj Masago Mwanamke Amepigwa risasi Mguuni na chini ya Tumbo
2 Partalala Parmwat Mwanaume Amevunjwa Mguu
3 Koote Kaura Mwanaume Amevunjwa Mguu
4 Sereman Lukeine Mwanaume Amevunjwa Mkono
5 Kiteleshon Masago Mwanamke Begani
6 Olengiyo Mwanaume Amevunjwa Mguu
7 Njipai Nginai Mwanaumke Amevunjwa mguu
8 Mtoto wa Denis Reya Mwanaume Amevunjwa mguu
9 Orkiliyai Saingeu Mwanamke Amevunjwa Mkono
10 Olesukuli Lukeine Mwanaume Kichwa


IMG_20220610_130414_364.jpg
IMG_20220610_130411_237.jpg
IMG_20220610_130408_027.jpg
IMG_20220610_130405_217.jpg
IMG_20220610_130402_147.jpg
IMG_20220610_130359_865.jpg
IMG_20220610_130357_384.jpg
IMG_20220610_130354_801.jpg
IMG_20220610_130351_770.jpg

IMG_20220610_154920_186.jpg
IMG_20220610_154926_189.jpg


 
Back
Top Bottom