kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,651
- 6,966
Ukiona nguvu kubwa inatumika hivyo, kuna stahili zao hazijatimizwa. Hilo sio kitu kigeni kwa TZ.Ulitaka wafanyaje kama wamegoma kuhama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona nguvu kubwa inatumika hivyo, kuna stahili zao hazijatimizwa. Hilo sio kitu kigeni kwa TZ.Ulitaka wafanyaje kama wamegoma kuhama
Duh pole kwaoSalaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai. Haijajulikana zimepigwa wapi saa ngap...
Yaaan...[emoji21]Halafu eti mnamuiata mama!
Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai. Haijajulikana zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.
Pia soma:
Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo
View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
Mungu wabariki wamasaiSalaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai. Haijajulikana zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.
Pia soma:
Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo
View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!
Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai. Haijajulikana zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.
Pia soma:
Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo
View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
ni kweli kabisa ni wamasai wa Ngorongoro. kimewakuta nini huko?Ahsante kwa kukubali kuwa zile zingine ni za Wamasai wa Ngorongoro
Tumefika huku jamani?
Hahaha!! ukikaidi utapigwa2Ni lazima kutii sheria bila shurti, ukikaidi utapigwa tu.
Watu wanawatumia Wamasai kufunga ng'ombe kwenye Mbuga zetu.