Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
CCM na damu za watu ni kama uji na mgonjwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nia ya picha hizi ni kutaka wasipate haki zao, majeraha yanaonesha yalikuwa yamepona, jeraha jipya halivimbi pembeni na kuweka kovu lenye ngozi kavu na damu inayoonekana imeganda sasa sijui ni ya mhusika au ya ng'ombe imepakwa, siku zote uongo ni lazima ufanane na ukweli.Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai. Haijajulikana zimepigwa wapi saa ngapi...
Kwa sababu sio wewe??Hakuna kinacho tisha hapo huyo kapigwa mshale tu wa mguu halafu mmasai gani ana guu kama chupa ya chai??😝😄😃😄
QWANI NA WEWE NI MMASAI???Kwa sababu sio wewe??
Nchi hii haitakaa ipewe tena kwa dhalimu wa vile.Tukutane 2025,
Jpm mwimgine lazima achomoze, mtetezi wa rasilimali zetu na watu wanyonge!
Kuna uongo mkubwa zaidi ya ule wa kusema Rais yuko safi na anachapa kazi Ikulu?Uongo wa Majaliwa unaweza kuligharimu Taifa.
Udhalimu huonekana baada ya mtu kukalia kiti, kabla ya hapo kila mtu huwa ni malaika.Nchi hii haitakaa ipewe tena kwa dhalimu wa vile.
Going viral .. Bado tutaliacha hili nalo lipite..[emoji24][emoji848][emoji2827]Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai. Haijajulikana zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.
Pia soma:
Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata
Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo
View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
View attachment 2256336
View attachment 2256286