Kuna kama FFU 700 loliondo kwa sasa kusimamia ugawaji wa eneo la mwarabu na kuhamisha wamasai...
Nawashauri wamasai waondoke mara moja, vinginevyo wataisha. Hao jqmaa wamedhamiria kutwaa hiyo sehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kama FFU 700 loliondo kwa sasa kusimamia ugawaji wa eneo la mwarabu na kuhamisha wamasai...
StressfulNchi hii haitakaa ipewe tena kwa dhalimu wa vile.
Kwani sasa hivi unakula?Kwani kipindi cha dhalimu kila mtu alikuwa anakula, au kundi lake ndio lilikuwa linafaidi? Au unadhani tulikuwa hatuoni?
Kwani sasa hivi unakula?
Mbona kila siku unalalama tu juu ya ugumu wa maisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumeunda Burigi mkaanza kuidhihaki.Leo hii wanyama ni Bora kuliko binadamu. Kama serikali ili kubali na wakukubaliana watoke serengeti kuja ngorongoro iweje tena watake kuwapeleka handeni.
Serikali wao ndio wakaunde mbuga mpya waweke wanyama
Kama haya unayosema hapa ni kweli, basi kuna tatizo kubwa sana ndani ya nchi hii.Duh.. hili balaaaa.
Hii yote kisa Mwarabu?
Si wampatie sehemu nyingine!?
Suala hili linahitaji busara sana....ila kwa Uongozi huu sijui....Wako wapi wakulima hapa?View attachment 2256432
Busara ya nini wakati washaambiwa miezi kibao imepita sasa hivi. Busara hiyo hiyo ingetumika MBEZI tungepata barabara nzuri??Suala hili linahitaji busara sana....ila kwa Uongozi huu sijui....
Ila na kazi ya kupiga watu risasi na mabomu ni kazi ya watu waliokata tamaa..Mungu aepushe kizazi changu na utumwa huu...
Amen.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Mbona kuna miguu mingine mitamu kama ya Irene Uwoya, ni Wamasai wa wapi hao wenye miguu ya hivyo?Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.
MY TAKE:
Damu ya Mtu haiendi bure.
Pia soma:
Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata
Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo
View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
View attachment 2256393View attachment 2256394
View attachment 2256336
View attachment 2256286
Hakuna haja ya kuitana fala...Busara ya nini wakati washaambiwa miezi kibao imepita sasa hivi. Busara hiyo hiyo ingetumika MBEZI tungepata barabara nzuri??
Acheni ujuaji wa kifala nyie.
Vyombo vya habari vipi, vya hawa hawa wanaogongea bahasha kwa Royal Tour au?PM haaminiki, inabidi vyombo vya habari viingie chimbo tupate ukweli.
Vya KimataifaVyombo vya habari vipi, vya hawa hawa wanaogongea bahasha kwa Royal Tour au?
Huna macho makali boya wewe, umeangalia kwa mrengo wa kisiasa. Sasa watakula kichapo non stop, ambianeni mapema.Hakuna haja ya kuitana fala...
Mimi sio mjuaji bali nimejaribu kulitazama hili jambo kwa macho makali ambayo wewe huna.
Next time jitahidi kutumia lugha nzuri...nadhani tupo pamoja....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app