CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yaan Polisi wampige huyo mzee aumie na wamuache bila kumkamata??
Bongo movie zingine vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yaan Polisi wampige huyo mzee aumie na wamuache bila kumkamata??
Tukisema JPM KAULIWA NA TEAM MSOGA WANASEMA SISI NI WACHOCHEZI WAKATI HAYA YANAYO TOKEA NI USHAHIDI KAMILI WA WAHUNI WALIO NDANI YA CCM NA SERIKALI, na ninaposema kuwa jpm alikuwa mpole sana alitakiwa kuteketeza kizazi kichafu yeye akakiacha...sasa kimeshika uongozi tena .....wanatuambia SABAYA NI JAMBAZI SASA HAPA NI NANI JAMBAZI SABAYA KAMWAGA DAMU YA NANI ? MBONA HAPA TUNAONA DAMU TUPU .....MAJUZI ZIMEMWAGWA SUMU MTONI WATU WAMEPATA MAAFA SERIKALI INATAKA TUAMINI KUWA NI MAJI KUCHAFUKA KWA KINYESI WAKATI UKWELI UNAJULIKANISalaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili kuondoa taharuki katika Jamii.
MY TAKE:
Damu ya Mtu haiendi bure.
Pia soma:
Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata
Bungeni: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema hakuna mgogoro kati ya Wafugaji na Serikali Loliondo
View attachment 2256224View attachment 2256225View attachment 2256226View attachment 2256227View attachment 2256228View attachment 2256229View attachment 2256230View attachment 2256231View attachment 2256232
View attachment 2256393View attachment 2256394
View attachment 2256336
View attachment 2256286
Haisaidii, dunia ya siku hizi hata wakifungia vyombo vya habari juu ya hili bado taarifa zitasambaa tu.Duu, cheap rhetoric from cannavaro, my ndugu it is more than you think. The Gov. should be more careful than turning it into politics. I cannot imaging Bunge and The GOV instead of looking for the solution they are focusing to shut down the media and wanaharakati. Hii nalo sii utatuzi, kumtafuta aliereport sio utatuzi kwani ni waongo? Je wamasai wote walikubali kuhama? Kauli ya Spika sii nzuri ni ya kuleta vurugu na mateso kwa wanaharakati na kuitwa wachochezi sio sahihi. Nchi haipaswi kuongozwa kwa ubabe na vitisho viashiria vyote mmevianzisha kwa kugrade maineo yao kuwa mbuga za hifadhi hapo hapo Bungeni kupitia Wizara ya mailasili je hizi si chanzo cha mgogoro kama mliamua hili bila kuwashirikisha?. Kaeni chini na wamasai muelewane hao mnaowaita wachochezi hawatapata nafasi bali wataaibika.
Eti boya hahaha......unaongea as if una una uwezo wa kutembeza kichapo....Huna macho makali boya wewe, umeangalia kwa mrengo wa kisiasa. Sasa watakula kichapo non stop, ambianeni mapema.
Ishu waondoke iwe kwa utulivu au vurugu lazima watoke.Eti boya hahaha......unaongea as if una una uwezo wa kutembeza kichapo....
Sasa nikuambie tu...Serikali itakaa nao na wataondoka bila ugomvi wowote sawa wewe dada....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Dikteta si alishaendazake??Yaani nyie madikteta hatari sana.
Hizo picha huenda ni za Kenya
Hiki ndicho wanaharakati walikuwa wanakitafuta, wameshapata pa kuanzia na watapata pesa sana kwa kupitia hii.
Tunataka kuwahamisha WAZANZIBARI WOTE tumewatengea eneo kubwa mara mbili huko Tabora kupisha uwekezaji wa Uchumi BLUU NA UTALIIWamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!
Kenya?Sonjo War documentary at Pinyinyi the Ololosokwani Kajiado Manda
Wanyama wanaweza kuishi na Waarabu/matajiri!Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!
Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!