mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Naomba kuuliza, wanaamishwa wamasai wote au wanapunguzwa pamoja na mifugo yao na kubakiza idadi ndogo ili kuendeleza sifa ya mbuga ambayo binadamu na wanyama huishi eneo moja, kama ilivyokuwa mwanzoni?