Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Dah! Kweli muongo huu hakuna jipya zaidi ya haya na katiba mpyaTukutane 2025,
Jpm mwimgine lazima achomoze, mtetezi wa rasilimali zetu na watu wanyonge!
Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi
Kwa hiyo hapo ni programme ya kulipa kisasi? Kweli wewe ni dooogi.Wamejeruhiwa tuu? Wanabahati sana. Wazanzibari huwa wanauliwa, wanapewa vilema, wana najisiwa, kila uchaguzi lakini hampigi kelele. Mnaona damu za Wazanzibari kumwagwa ni jambo la kawaida.
Ni leo hao wamasai wameingia ngorongoro?Wamasai wasiwe wabishi, wameshatengewa eneo la kuhamia shida nn? Wanyama hawawezi kuishi na binadam over!
Ndo ujue hapa Kuna hiden ajenda wanayoijua hawa bavicha humuWamejeruhiwa tuu? Wanabahati sana. Wazanzibari huwa wanauliwa, wanapewa vilema, wana najisiwa, kila uchaguzi lakini hampigi kelele. Mnaona damu za Wazanzibari kumwagwa ni jambo la kawaida.
BAVICHA wako kimya huko wanapewa cha kusema sahizi ili kesho wafufuke tenaNilisema mapema mno, Masai huwezi kuzugumza nae na kuelewana, nilipendekeza wahamishwe kwa nguvu, sbb ardhi si mali ya Masai, hakuna mwenye hati miliki ya ardhi ikiwa serikali inataka ardhi hiyo. Hivyo hapa nimeona wanaharakati na NGOs kibao ambazo huwaingizia fedha kwa njia ya kuwapiga picha na video masai kibao na kutumia kama njia ya kupata dollars kwa kusema ni maskini sana na serikali imeshindwa kuwahudumia.
Njia iliyo nzuri, serikali ishafanya juhudi kubwa kufanya nao mazungumzo kupitia Waziri Mkuu mara nyingi sana, hata sitaki kuhesabu, nadhani kuwapatia maeneo mengine ndio jibu, na serikali imetoa maeneo mengi tu, ila masai wengi wanatumiwa na hao wanaharakati, hivyo kuwatoa kwa nguvu ni sawa.
Nimeshangaa Sana alivyotoa ile kauli bungen, Aisee...PM haaminiki, inabidi vyombo vya habari viingie chimbo tupate ukweli.
Si mlisema Magufuli ni katili anaua watu, haya sasa huyu mama yenu hiki kinachofanywa na vijana wake kwa amri yake ni nini?Kuna video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha mirindimo mikali ya risasi huko Ngorongoro huku wanananchi wa jamii ya kimasai wakikimbia huku na kule kunusuru maisha yao.
Video hiyo imezua taharuki kubwa mitandaoni kiasi kwamba wengi wa walioiona hiyo video wameshangazwa sana na nguvu kubwa inayotumika dhidi ya wananchi wa jamii ya kimasai
Ifahamike tu kuwa serikali imeonyesha nia ya kuwaondoa Wamasai katika eneo hilo la Ngorongoro kwa vigezo vya uhifadhi. Hata hivyo Wamasai wanapinga vikali suala hilo kwa kusema kuwa, Enzi za Mkoloni walikubali kuachia maeneo yao ya Serengeti ili kuwezesha Serengeti iwe mbuga ya wanyama tupu. Walihamishiwa ngorongoro kwa makubaliano kuwa safari ijayo maslahi ya binadamu yakigongana na maslahi ya watu basi maslahi ya watu yatapewa kipaumbele.
Wakati wa utawala wa serikali ya awamu ya kwanza serikali ilitunga sheria ya uhifadhi ya Ngorongoro, na sheria hiyo ikasema wazi kuwa mojawapo wa malengo ya mamlaka hiyo ya uhifadhi wa ngorongoro ni kulinda maslahi ya wamasai waishio katika uhifadhi.
Tatizo la migogoro ya Serikali na Wamasai linarudi nyuma toka zama za kashfa ya Loliondo na kuna minong'ono kuwa yule mwarabu aliyepewa eneo la Loliondo anataka apewe eneo kubwa zaidi na hivyo ndo maana Wamasai wanafanyiwa visa wafukuzwe au waondoke wenyewe.
Hili suala ni zito sana, Ikumbukwe kuwa Hayati Magufuli katika utawala wake alikataa kuwafukuza wamasai huko Ngorongoro, lakini serikali hii ya awamu ya Sita naona inatumia kila mbinu kuwaondoa Wamasai katika maeneo yao.
Hapa Chini ni clip ya video ikionyesha Wamasai wakikimbia kunusuru maisha yao dhidi ya bunduki na risasi.
View attachment 2256280
Tatizo wamasai nao wanadekezwa mno. Huko Ngorongoro wanafaidika mno na hiyo mamlaka ya hifadhi ndo maana bila aibu kuna wengine wamejenga mahekalu ndani ya hifadhi wakati serikali yenyewe imewajengea wafanyakazi wake nje ya hifadhi wilayani Karatu. Ifike sehemu wamasai nao waelewe serikali ikiamua ubabe watahamishwa kwa nguvu. Wananchi wengine huwa hawasumbui sana kwenye kuhama. Fidia tu zinalipwa watu wanahama.Napenda amani, lakini hawa wametuulia sana ndugu zetu wakulima kinyama na kishenzi kabisa kule morogoro.
Haijalishi kabila mie mtanzania wewe upo kama jajusi la kongoQWANI NA WEWE NI MMASAI???
Ukijibiwa hapa Chinga naomba nitagUnakubali kuhama kwa hiari kabisa,serikal inatumia kod za wananchi kuwaandalia makazi yaliyo bora kabisa,wakati wa kuhama unafika unagoma unashika na sime,ungekua wewe u ngefanyaje?
Hakuna mwananchi asiyejua haki yake kwa sasa hasa ile haki ya uhuru wa kuishi popote ambayo ni haki ya msingi ya mtanzania. Wamasai ni watu wanaojitambua sana shida yetu ni kuwa ukisimama katika haki yako serikali ya CCM inakutumieni FFU wawapige kama hivyo na kutumia silaha za moto hata kuwaua kabisa bila kujali.Pm wenu angaekua kwenye nchi zinazojielewa siku nyingi angekua kafukuzwa kazi kwa kusema uongo na huo uongo hajaanza Jana Wala Leo ni mwongo kwa kauli zake na matendo yake.Kwa kifupi huyu Mheshimiwa sifa za kuwa kiongozi sema shida yupo nchi ambayo Wananchi hawajui haki zao