CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Ni mpumbavu tu ndio atakuja na hoja kama yako ya kijinga mara ooh waarabu mara wazungu.Kumbe ushahamishwa before,,,,,,umekua katili ulionewa so na wengine waonewe tu....
Kwanza Nyerere alikuwa Mzalendo, sio ufisadi wa serikali zilizofuata
Unaandika shit, kwani hakuna mwarabu kweli...???
Na yes wamekaa muda mrefu, at least mlivyohamishwa kwenye Ujamaa ilikuwa kwa manufaa ya watanzania wengine na sio ya mwarabu!
Unaita watanzania wenzio mbuzi?!..sidhani kama uko sawa MKuu..
Mark hii posti, hakuna mmasai atakayeenda Handeni
Na mama ataenda kwa waarabu na kusema kishasanuka...
Kwa heri, LOL
Mnaokoteza hoja za kijinga mnajaza mitandaoni. Hoja ya msingi ni kulinda hifadhi ambayo sasa iko hatarini kutoweka kutokana na idadi kubwa ya watu ambao sio tu wanazidi kuzaliana pale bali pia wanajienga makazi ya kudumu kabisa hali inayopelekea kuhama kwa wanyama.
Kakaeni na wale mbuzi muwaambie serikali sio ukoo wa Orokosoi, kwamba utaamka usiku ukampige na sime. Watakula kichapo hawajawahi ona.
Wajazeni ujinga au nendeni kwa NGOs kusaka pesa ila tutawahamisha na kichapo kizito tu.
Kadiri wanavyoongezeka serikali inalazimika kusogeza Shule, Zahanati, barabara nk hivyo si sawa kufanya hayo mbugani.
Wametengewe eneo zuri, wamejengewa vizuri wamewekewa bwawa la kusaidia mifugo yao, wamepekelewa maji safi ya kunywa afu bado unalazimisha kubakia.
Afu we mbuzi hauna cha kuitishia serikali eti hawatohama. Nikuhakikishie ndio tunaenda sasa kutembeza kichapo na kubomboa vizizi vyao. Na yeyote atayeonekana hifadhini atahesabika kama jangiri na unaelewa hukumu za majangiri wakiingia kwenye line.