Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja

Naomba kuuliza, wanaamishwa wamasai wote au wanapunguzwa pamoja na mifugo yao na kubakiza idadi ndogo ili kuendeleza sifa ya mbuga ambayo binadamu na wanyama huishi eneo moja, kama ilivyokuwa mwanzoni?
 
Wanaharakati wa Kitanzania mna njaa sana kubabeki zenu.
Sasa Mnapata faida ipi kwa kutumia irrelevant images kwenye ku push agenda zenu za kibwege bwege.
 
 

Picha zinatisha: Samia Suluhu anafungua nchi​

 
Siri Ndo Hii,
 
Naona matundu ya risasi!!! Historia inajirudia. Mzee Mwinyi ndio aliwaingiza waarabu Loliondo,Leo mwanae anawaongezea eneo zaidi huko Loliondo huku damu zinamwagika!!
 
si wamenyoosha mishale kwamba wako tayari kabisa, sasa tatizo nn hapo
 
Unakubali kuhama kwa hiari kabisa,serikal inatumia kod za wananchi kuwaandalia makazi yaliyo bora kabisa,wakati wa kuhama unafika unagoma unashika na sime,ungekua wewe u ngefanyaje?
Kwahiyo hiyo kwako ni sababu tosha ya wao kupigwa risasi??
 
Well Noted Mkuu NIMEKUELEWA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…