Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
Zito kupanda hizo ndege sio justification ya uwekezaji kwenye hii biashara kichaa ya ndege.kama msingekuwa washamba mngeonesha pia kabla ya hizo ndege Zito alikuwa anaendaje kigoma
 
..huyo aliyeshika bango yeye amewahi kupanda ndege?

..kwenye ndege ccm mnalazimisha tu, lakini hazina faida kwa mwananchi wa kawaida.
Kwa hiyo mwananchi wa kawaida kupata faida ya ndege za umma ni mpaka azipande?

Je zinapoingiza mapato kwa taifa na zikajengwa hospital hanufaiki? Hivi Mbowe anafuga watu gani! Mbona wakati wa Slaa kulikuwa hamna watu kama wa namna hii
Cc tindo
 
Shida yenu ni moja tu, na hata hivyo siwashangai ninyi vijana wa Chadema, maana kawaida yenu ni kutaka kitu msichokijua

2015, Viongozi wenu walikuwa na nyimbo zao nzuri Sana bungeni, lakini leo mnaziruka tena,
Ni kina Nani waliokuwa wanasema, wanataka kiongozi mwenye udicteta?
Ni kinanani walisema, Wanataka Raisi asiyesafirisafiri kwenda nje?
Ni kina Nani walisema, Tunataka Raisi mkali asiyechekacheka?

Yote hayo mmejifanya hamyakumbuki, kana kwamba hamkusema ninyi

Kina Nani waliokuwa wanadharau nchi Kwa kukosa ndege hata moja? Eti nchi inazidiwa na Rwanda, Ka nchi kadoogo kanatuzidi?

Leo mnakataa tena? Waghosha!!
Ninyi ni malofa na wapumbavu, huwa HAMJUI mnataka nini,

Chama chenu ni cha hovyo Sana na watu wenu wote ni walaghai na makanjanja


Mpumbavu ni wewe usiyejua nini kinaongelewa na wapinzani.

Sasa fungua kichwa chako uelewe, wapinzani wanahoji ni njia gani hizo ndege zilivyonunuliwa!!!--- kama ilipaswa tuwe na ndege je iimenunuliwa kufuatana na open public procurement ??!!, hata CAG haruhusiwi kukagua kama ndege hizo zinaingiza faida au laaa, kwanini CAG asiruhusiwe kukagua mali hiyo ya UMMA??? au hizo ndege zimekuwa ni mali ya Magufuli???.--- manunuzi ya hizo ndege na miradi mingine mingi ya awamu hii imejaa harufu ya UFISADI na ndiyo maana huyo muheshiwa ni mkali mno katika mambo yake, ukali wote huo ni kutaka watu wamuogope ili wasihoji uchafu wake. Wajinga kama nyie bendera fuata upepo mtajua nini???!!
 
Apana ndugu, wamebeza ununuzi wa cash, wakitaka serekali ikope na kutoa riba, ili tupate hasara kubwa.

Pia walibeza kuwa watu hawataweza kuzipanda


Watu wengi (Watz) hawawezi kuzipanda katika kuleta faida ya kibiashara, ilitakiwa zifanye routes nyingi za nje ndipo fedha ya kuzinunua itarudi vinginevyo ni SHOW DOWN tu kwamba Tz na sisi tunazo ndege kams Rwanda.🤣🤣
 
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
Hivi watu wa Kigoma waneprint wapi iyo picha???? Kuna kampuni kigoma nzima ya kuprint picha ya namna iyo????? Kweli CCM mnaweweseka sana na propaganda zenu uchwara hizo !!

Hizo picha wanesafiri nazo kina polepole alafu wamefika kigoma wakachukua vijana na kuwapa huku wakiwalipa hela ili wanyanyue kwenye mkutano wa Magufuli alafu mna sema Eti wana kigoma wamjibu zitto!!!

CCM ni wapuuzi sana 😂
 
Pia Magufuli hana ndege hapa Tanzania, ndege zoote zimenunuliwa na pesa za walipa kodi watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app


Yeye si anajiona kwamba ela ya kununulia hizo ndege zimetoka mfukoni mwake na ndiyo maana zipo chini ya Ikulu na CAG haruhusiwi kwenda kukagua hesabu zake.

Hizo "figurativelly" ni ndege za Magufuli kwani hata manunuzi yake yamejaa USIRI MKUBWA MNO japo pesa iliyonunulia ni ya UMMA.
 
Yeye si anajiona kwamba ela ya kununulia hizo ndege zimetoka mfukoni mwake na ndiyo maana zipo chini ya Ikulu na CAG haruhusiwi kwenda kukagua hesabu zake.

Hizo "figurativelly" ni ndege za Magufuli kwani hata manunuzi yake yamejaa USIRI MKUBWA MNO japo pesa iliyonunulia ni ya UMMA.
Kuna siku itafika hata mawe yatahoji matumizi ya fedha za watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
kumbe mnamuogopa Mwami Zitto kiasi hiki?mwajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Usiri upi mkuu wakati bei imerangazwa, kama kuna ufisadi mngekwenda kiwandanu mkachukuwe data ili mje kumuumbua JPM.
Kusubiri bunge imgeongeza gharama za manunuzi...bei ya ndege plus vikao vya bunge maana hata kama bunge lingejadili bado bei ingekuwa hiyo hiyo


Nyie mmenunua ndege kushindana na Rwanda, lakini hamkuangalia economic point.

Haraka sana tunatakaa CAG akakague faida na hasara za biashara ya hizo ndege ili sisi wananchi tujue ela yetu imepotea au laa.
 
Haipendezi kutetea ujinga kwamba ununuzi wa mali ya thamani kubwa hivyo unafanyika kisiri wakati ununuzi wenyewe, ukaguzi na hatimaye ndege hupokelewa kitaifa.

Hata kama ni chuki na fitina zifanyike kwa kiwango ambacho akili imetumika. Kulalamika tu kama watoto. AIBU


Uumeelewa nilichoandika au ndiyo Elimu za Watz zilivyokuwa ndogo!!!??

Usihofu, Rais Lissu atafumua mfumo mzima wa elimu nchini ili kuwakomboa watu kama wewe.
 
Nani alisema ni hasara kisa riba? Kwanza Leasing ina faida kwenye long run kuliko uweke cash yote mpka ije kubreak even sio leo wala kesho.

Kama kukopa ni hasara mbona SGR mmekopa ili mjenge? Au ni hasara pale tu inaposhauriwa na upinzani?

Hawakusoma Uchumi hao, wamesomea Chemistry,----- Economy na mihemuko ya Chemistry wapi na wapi!!?? 🤣🤣
 
Jibu hapa, ni lini zitto alisema hatopanda ndege za Magu???-- kama huna jibu kaa kimya.
Alisena ndege ni screpa. Sasa anapanda screpa haogopi kuhatarisha usalama wake?
 
Alisena ndege ni screpa. Sasa anapanda screpa haogopi kuhatarisha usalama wake?


Kusema ndege ni skrepa (kama alisema) ndiyo kusema; hatopanda ndege???.

Mimi, mfano nikisema: Hiii gari mbovu, je maana yake nimesema sitaipanda hiyo gari???!!.

Leteni hoja zenye mashiko hapa sio hoja za kitoto.
 
Walisema tunazidiwa hadi na rwanda inamiliki ndege, wamegeuka tena hawa jamaa hawajui wanachokitaka.
ndege sio kwamba ni mbaya, ila sio kipaumbele kwa sasa. kwa mfano wewe upo kwenye harakati zako za kumalizia kujenga nyumba yako ila kinachokukwamisha ni ukata wa hela. mara paap kwenye pitapita zako umeokota burunguti la hela, kuzihesabu ni milioni 3 na ukiangalia hiyo hela inatosha kumalizia nyumba yako. je utaenda dukani kununua iphone kisa demu mwenzio anayo ya macho matatu au utaenda kumalizia nyumba yako?
 
We naye hauna hoja kabisa kwa kudhani siasa ni zero Sum game kwamba ukisema Rais mwanamke basi hta likiwa zoba zoba as long as ni mwanamke usipinge kisa ulishauri?

Waliposema Rais asiyesafiri sio kumaanisha ndio asitoke kabisa bali awe na balance unlike Kikwete, same to kufufua ATCL, kufufua reli etc haimaanishi sasa uwekeze trillion zote huko hadi masuala mengine yakwame.

Sasa ww kwa logic yako eti mtu akishauri mnunue ndege eti ukinunua hata 50 ooh usisemwe kisa ulishauriwa ununue ndege. Hizi extremes mnatoa wapi?

illogical inference


Utadhani wanafikiri kwa kutumia miguu na sio vichwa.
 
Mpumbavu ni wewe usiyejua nini kinaongelewa na wapinzani.

Sasa fungua kichwa chako uelewe, wapinzani wanahoji ni njia gani hizo ndege zilivyonunuliwa!!!--- kama ilipaswa tuwe na ndege je iimenunuliwa kufuatana na open public procurement ??!!, hata CAG haruhusiwi kukagua kama ndege hizo zinaingiza faida au laaa, kwanini CAG asiruhusiwe kukagua mali hiyo ya UMMA??? au hizo ndege zimekuwa ni mali ya Magufuli???.--- manunuzi ya hizo ndege na miradi mingine mingi ya awamu hii imejaa harufu ya UFISADI na ndiyo maana huyo muheshiwa ni mkali mno katika mambo yake, ukali wote huo ni kutaka watu wamuogope ili wasihoji uchafu wake. Wajinga kama nyie bendera fuata upepo mtajua nini???!!
😂
Limekuuma Neno la Ninyi ni malofa na wapumbavu?

Nasisitizia hapohapo, Ninyi ni malofa na wapumbavu, kwahiyo hizo kelele za Kwa nini nchi inanunua ndege huku raia wakiwa na njaa unazikataa leo, hivi na wewe mzigo?

Kwa hiyo leo siyo hoja tena? Jinga kabisa wewe
 
Back
Top Bottom