Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Faida nyingine hawana gharama na hela za mume wake unaweza ukala piaHujui raha ya kutembea na mke wa mtu wewe, wake za watu ni watamu sana na ukiwa nae unakuwa na nguvu sana kuliko hawa wenye njaa kila dakika.
Jiandae kwa kifiro kilichokwenda shuleHujui raha ya kutembea na mke wa mtu wewe, wake za watu ni watamu sana na ukiwa nae unakuwa na nguvu sana kuliko hawa wenye njaa kila dakika.
🤣🤣🤣🤣🤣 WeeeeWatu wabaya aise
Acha tu mkuuDah! Hizi story
Vijana wataogopa kuoa Sasa[emoji26]
Maoni ya mke wa mtu, anayemiliki mume wa mtu yanafanana na haya!hata hao mademu wengine ni wake/wachumba za wanaume wanaoishi uchumba suguuu. Kile kitendo tu hata ka ni mara moja kinaamsha mwendelezo hata ka ni wa kimya kimyaaa
Hakuna koloni/adhi isiyo na mmiliki, issue tu ni kutokufanya maamuzi ya urasimishajiii
Story za kuchapiwa Zimebamba Sana Tangu January hii ianze, mabinti zetu watakosa waumeAcha tu mkuu
Mi nimesurrender asee ngoja nikamue kitabu sasa nitafute maisha thread za uzinzi nilizosoma zinatisha Sana unaweza ukafa na presha ingali bado kijana mdogo bro shukrani kwa maoni na thread zako pia 🖐️Story za kuchapiwa Zimebamba Sana Tangu January hii ianze, mabinti zetu watakosa waume
Imekutokea nn 🤣🤣🤣Maisha duniani ni changamoto sana aisee,,, Yaani mke wa mtu anaweza kukuambia eti "sijawahi kupenda kama ninavyokupenda" Sasa kwa maneno hayo kijana wa watu atachomoka kweli jamani?
Mrejesho mkuu hii kesi ilishaje!!!Yaani wanawake wapo wengi sana Kila Kona unakunana na mwanamke Tena sio mwanamke tu Bali ni mwanamke mrembo.
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.
Trauma anayoipata mwanaume kisaikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.
Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba hapa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva bodaboda ambae walikua wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮
Leo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na bodaboda Kwa mauwaji, mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi
Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.
R.I.P mwamb!!
HahahaMaisha duniani ni changamoto sana aisee,,, Yaani mke wa mtu anaweza kukuambia eti "sijawahi kupenda kama ninavyokupenda" Sasa kwa maneno hayo kijana wa watu atachomoka kweli jamani?
HahahaHujui raha ya kutembea na mke wa mtu wewe, wake za watu ni watamu sana na ukiwa nae unakuwa na nguvu sana kuliko hawa wenye njaa kila dakika.
DuuhNimetembea na mmja Ila huu upuuzi sitaki tena
AseeeNajikutaga tu napendwa na wake za watu
Tupe kisaMi sio boya kihivyo,kunifunania haitotokea,sijaanza leo haka kamchezo
HahahaToka nijue nilichapiwa...sahivi nawala wake za watu balaa..tena nikijua ww ni mke wamtu ninaemfahamu, ndiyo nakupelekea moto balaa