Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
mi bikra πππsijui ndo tuko disqualified au over qualifiedNaona wengi mpo DISQUALIFIED
Basi Dar nzima Haina pisikali labda huko masaki na Mbezi beach ambako Sina uzoefu nakoKwema Wakuu!
Watu wazima wenye umri kuanzia miaka 50 kuendelea wanaweza kunielewa nazungumzia nini. Pia wanawake Watu wazima wataelewa.
Vijana, huwezi kukuta Mwanamke anayejiuza pale Riverside au mwanamboka alafu ukaita Pisikali. Hiyo ni kuonyesha kichwa yako mtandao hausomi vizuri. Au unatumia vilevi.
Pisikali zina sifa zake. Mtoto mmoja matata. Sio tuu kwa nje bali hata kwa ndani.
Pisikali inatakiwa isijue Wanaume zaidi ya watatu.
Sasa mwanamke Kalala na wanaume kumi alafu kwa ushamba wako unaita Pisikali. Hivi siku ukikutana na Pisikali utasema niΓ±i?
Ndio maana wengi wanauliza mbona wanawake wanaoonekana wazuri hawaolewi. Ni kwa sababu yaliyomo hayamo.
Mtu anaona kwa nje ni Pisikali anaingia ndani anakutana na kazi mbovu.
Wewe kitu kimechoka unaita kikali. Acha pombe na mibangi.
Acha nipumzike
Vipi umefikiwa shosti ππmweee
π€£π€£Sa itakuwaje?π€
Duh!!Hawa wanaume hapo watajirudia kwenye groups nyingine..yaani utakuta hapo wanaume kama 10 hivi wamejirudia kwenye list ya wanawake wengine 200. Sa itakuaje?
ππππ Madame B kuna mtu anasimanga zana za kazi.!!unachozungumzia ni sawa na kutafuta msichana bikra saa hii π
hakuna cha nini wala nini, kama hiyo pisi haijui wanaume wa3, basi Lazima inajua aina kadhaa ya midoli ya kujisukutulia mbususu na imejaa magetoni pakeπ
but all in all mbususu zimechakaa ndrugu zango, mpaka unajiuliza nini hiki na pisi imesumbua namna hii π
R I P Laigwanani comrade ENL
mie bado shoga angu bado mpyaaππVipi umefikiwa shosti ππ
Mwanamke akila vizuri na kuoga kwa kituo lazima awe na huo weusi wa kung'aa tu .Na pisi kali ni lazima awe mweusi wa kung'aa [emoji23]
Nakojoaaaaaaa π€£π€£π€£π€£π€£mie bado shoga angu bado mpyaaππ
Mpaka nithibitishe ndio nitabadili kauli...ni kama unaniambia umeokota almasi kariakoo.lazima ni kipande cha chupa.mi bikra πππsijui ndo tuko disqualified au over qualified
ππππendelea kukataaaMpaka nithibitishe ndio nitabadili kauli...ni kama unaniambia umeokota almasi kariakoo.lazima ni kipande cha chupa.
ππππ we subiriNakojoaaaaaaa π€£π€£π€£π€£π€£
Jamaa kawatenga, angesema angalau 12(dozen) watatu kidogo sana.π€£π€£π€£ππππendelea kukataaa
mi ni 0Jamaa kawatenga, angesema angalau 12(dozen) watatu kidogo sana.π€£π€£π€£
Sawa pisikali.mi ni 0