Hata sasa watu wataendela kumpiga vita, lakini hakutakuja kuwapo kwa rais wa maisha ya wengi kama yule.Itafika siku jina la Magufuli litakuwepo kwenye somo la historia na hapo ndio tutajua yule ni nabii
Kwanini umewasemea wakristo? Au kwa elimu yako unadhani Nabii ni lazima awe mkristo?😂😂 wakristo huwa mnanichekesha, yaani nyie kwenu kila mtu akifanya upuuzi wa aina yoyote hamkawii kumuamini na kumuita Nabii, hipo siku hata Mandonga mtamuita nabii, Aisee mtaibiwa sanaa, Bora kutokuwa na dini tu
Wabongo bhana... yaani mnaokoteza tu tweets from Anonymous Members na hiyo kwenu ndo inakuwa stori?!"Msidhani kua mnapendwa sana -In Magufuli voice"
Nakumbuka Hii kauli ya Magufuli aliisema akiwa chato kuonya kuhusu corona virus vaccine
Leo hii wazungu wanakiri wenyewe ni very risky
RIP JPM,RIP Mwamba
...So, I saw him in Trump Tower, and I said, "hey, science and innovation is a great thing, and you should be a leader who drives it. And innovation in that conversation was about a broad set of things... in energy, and health, and education... you know, big things you wanna do it to big, HIV Vaccines you could; you know(innovation) can accelerate that... be associated with innovation. And the second time I saw him was the March after that... March 2017 in the White House. In both in those two meetings he asked me if vaccines weren't a bad thing because he was considering a commission to look into ill effect of vaccacines, and somebody, his name was Robert Kennedy, Jr. was advising him that vaccines were casing bad things, and I said no, that's a dead end... that'd be bad thing, don't do that. Both times he wanted to know if there's a difference between HIV and HPV, so, I was able to explain those are rarely confused to each other
Kwanini unaniita BAWACHA? Huo ndiyo mwisho wa akili yako? Come with objective argument or shut up kama huna pointWewe BAWACHA unafahamu katibu mkuu wako Catherine Ruge anafadhili mtandao wa majambazi ? BAWACHA na CHADEMA itolee ufafanuzi ,kama pesa za ruzuku hawachukui na tunajua wanategemea ruzuku kujiendesha, je pesa zinatoka wapi?
Isije ikawa panyaroad ni mradi wa....ili kupata pesa.
Mimi ni health professional kwenye virology na immunology, nimuulize nani tena?? Mimi ndiyo wa kuulizwa na kutoa majibu.Mambo mengine uwe unauliza kwanza.
ebu niambie mkuu, kwa miaka hii ya karibuni ushawai kusikia nabii wa kiislamu au nabii wa mabohora?Kwanini umewasemea wakristo? Au kwa elimu yako unadhani Nabii ni lazima awe mkristo?
Wewe na akili yako unakubali kukaa jikoni na kufyonza moshi ? Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa (Hosea 4:6)Kama alikataa uwepo wake ilikuwaje akawaambia mjifukize?
Mzungu gani huyo au wa simba au mzungu kichaaMbona wazungu wanasema Raisi wetu kauwawa, kama hujui wazungu na waarabu wanamjua Magufuli kuliko MaRaisi wote waliowahi kuiongoza Tanzania, Yani nimeshangaa wazungu wakaida wanamjua Magufuli chakushangaza wana mkubali sana na wana muheshimu.
Ukiona moshi,kuna moto!...Wabongo bhana... yaani mnaokoteza tu tweets from Anonymous Members na hiyo kwenu ndo inakuwa stori?!
Tatizo lenu mnadhani kila kinachokuwa posted online basi ni taarifa sahihi bila kujishughulisha kujua credibility ya source mnazotumia!!
Matokeo yake, source uliyoweka, ya mtu anayejiita Spartacus, anataka kuwaaminisha watu aina yako kwamba Trump alikuwa anazungumzia mRNA ya Bill Gate, chanjo ya COVID-19!
Lau kama ungetumia hata dakika 2 kutafuta original source ambayo ni MNBC, ungekuta screenshot aliyoambatanisha Spartacus, original clip ni hapa chini:-
Hapo utaona the original video ilikuwa uploaded YouTube on May 18, 2018 hata kabla ya hayo mambo ya COVID-19! Na ukisikiliza, utaona Bill Gate aliongea ama December 2016 or early 2017.
Basically, Bill Gate alikuwa anaongea na Wafanyakazi wa Bill & Melinda Gates Foundation, na mmoja wao alitaka kujua alimfahamu vipi Donald Trump kwa sababu, by the time, Trump ilikuwa ndo kwanza kachaguliwa kuwa rais!!
Gate alipokutana na Trump kwa mara ya kwanza mara ya kwanza ndani ya Trump Tower na mara ya pili alimtembelea White House. Mara zote hizo Trump alitaka kufahamu ikiwa chanjo ina madhara, na chanjo waliyokuwa wanaizungumzia hapo ni HIV Vaccines, na kwa maneno yake, Gate anasema---
Btw, hivi ulijaribu kutafuta na taarifa za Dr. Peter McCullough ambae clip yake imepachikwa baada ya maelezo ya Gate?!
Acha kuita wenzako pimbi .Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.
COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.
Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Kwa hiyo mradi wazungu wamesema basi wewe ni WA kuamni wanachosema? Sasa hivi wazungu wanataka wanaume waingiliane kimwili na kufunga ndoa, kwa hiyo hata wewe jaap kama ni mwanaume uko tayari kufanya hivyo sababu wazungu wamesema?Mbona wazungu wanasema Raisi wetu kauwawa, kama hujui wazungu na waarabu wanamjua Magufuli kuliko MaRaisi wote waliowahi kuiongoza Tanzania, Yani nimeshangaa wazungu wakaida wanamjua Magufuli chakushangaza wana mkubali sana na wana muheshimu.
Yule ni pimbi tu na atabaki kuwa pimbi. Mshamba wa Kolomije kuja kutupangia namna ya kuishi sisi watoto wa mjini ni PIMBI tuAcha kuita wenzako pimbi .
Anza wewe kuitwa pimbi .
Unakasirika kisa hujui kingereza na umepata chanjo ya corona unalo utajiju acha kukariri maisha zuzu wewe mxiu
Hakuna, darasa la saba la mzungu kwa mtanzania ni Diploma.So wewe unadhani hakuna Wazungu wenye akili kama zako?
Raia wa Uingereza aliyeishia la tatu b ni sawa na wabunge wako 250.Mkuu hata raia wa nje kuna wenye akili kama zako