PLO Lumumba apuuzwe kama maprofesa wengine wa Afrika

PLO Lumumba apuuzwe kama maprofesa wengine wa Afrika

Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Sasa hafai vp wakati mtu anakalisha watu kwa hoja sio bla bla.
Toa hoja zinazoeleweka watu wakuelewe sio kuleta chuki zako binafsi
 
Uko sahihi. Waliomsikiliza naamini hawafiki 15% lakini wamempinga jamaa(Professor) hadi wamekaukiwa mate na yameisha?
Wanayemtetea ni chronic liar na hadi alimzushia yule kijana mlinzi kifo wakati jamaa yupo anadunda tu. Ni Mzee aliyetuambia tutashtakiwa MIGA kwa kudai gawaio zaidi kwenye madini yetu!
Ukihoji sana utaulizwa...unampinga, wewe umewahi kupigwa risasi 16?..
As if ni qualification fulani!
Ni vitu vya ajabu sana mkuu, ndio maana mimi kwenye mada kama hizi huwa sichagiagi mara nyingi huwa nasoma comments tu.
 
Yaani upigwe risasi 16
Wakunyime matibabu
Wakufukuze Ubunge
Wakufanyie figisu kwenye kampeni
Kisha baada ya kampeni wakuahidi kuwa safari hii hawakukosi

Halafu kweli utoke hapo usiwe na hasira kweli?
Mtu yeyote mwenye chembe ya utu aliyejua jinsi Magufuli alivyokuwa muonevu na katili lazima awe na hasira naye na utawala wake!
 
Pole sana kwakuwa hakusema mnayoyapenda kuyasikia?

Hivi chadema kwenu nyinyi ni maana ya haya maneno?

Demokrasia?
Uhuru wa maoni?
Uhuru wa vyombo vya habari?

Nauliza hili swali kwakuwa nimekuwa naona haya maneno mnayapenda pale mnapokuwa mnafurahishwa na muktadha fulani na kama ni jambo basi ni lile linalo wafurahisha nyinyi!
Hoja zilizotolewa kwenye thread Umeshindwa kuziona kabisa kuwa Zina mantiki .. kama PLO Ameshindwa kuona Hoja kama hizo au ameziona Halafu akashindwa kuzitolea majibu sahihi Bila shaka naungana na Wengine wanao mbeza jamaa itakuwa amesoma lakini kichwani ni 0 Nina wasi wasi na Akili za wale wanao m- support itakuwa hawajitambui
 
Tukubali tu Lissu alishindwa hoja, it was a debate kumbukeni hilo, kila mmoja alitetea upande wake. Sasa hii kuanza kumshambulia Lumumba haipunguzi maumivu ya kushindwa hoja.
 
Huyu jamaa kasoma lakini kaweka akili zake tumboni last week kaomba eti akamsifie Rais wa Malawi,mtu mzima ovyooo
Yaani kumbe huwa anaomba invitation !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Now I know why kam-sifia jiwe licha ya udhaifu wote aliouonyesha kiutendaji wakati wa Utawala wake


Iko hivi huyo professor ni Mtu anaye tumika kuwapigia debe watawala ili wampe uhakika wa kula kwa namna yoyote ile ilikua ni lazima amsifie jiwe ili aendelee kujibrand kwa sababu viongozi wengi wa Africa wanapenda kusifiwa hata pale wanapo fanya madudu katika tawala zao ' Sote kwa pamoja tujiulize swali kama ingetokea akamuongelea jiwe negative kuna kiongozi gani mwingine Anaye toka Africa ambaye Atamruhusu kuwa karibu nae ' in shot ndio ingekuwa amesha jiharibia Na kujikosesha uhakika wa kula yake
 
Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Kasema kweli kabisa.
 
Huyu mzee mbona PCCB ya Kenya ilimshinda kasha baki kuwa mpiga kelele kwenye majukwaa ya wajinga ndo huwa wanamsikiliza na kumuona wa maana.
Tafadhari jikite kwenye muktadha wa kile walichokuwa wanajadili jana.

Mkiona mmepigwa knock out mnaanza kujadili mtu badala ya vitu, niambie Tundu wakati mbunge kafanya nini cha maana?
 
Amekuwa prof kwa huodali wa kukakiri notisi ila hana cha maana achoongea
Hahah

Demokrasia lakini kusikiliza mawazo ya wengine inakuwa shida. Yule profesa ana exposure na articulate kuliko yule chizi maarifa
 
He was paid to make propoganda on behalf of the gonner and CCM. How and why he visited chato and mwanza and held a talk with the gonner? He talked like CCM. He didn't answer the questions rather attacked the questios
Weka ushahidi kalipwa na nani?
 
Yaani upigwe risasi 16
Wakunyime matibabu
Wakufukuze Ubunge
Wakufanyie figisu kwenye kampeni
Kisha baada ya kampeni wakuahidi kuwa safari hii hawakukosi

Halafu kweli utoke hapo usiwe na hasira kweli?
Mtu yeyote mwenye chembe ya utu aliyejua jinsi Magufuli alivyokuwa muonevu na katili lazima awe na hasira naye na utawala wake!
Na wewe mpaka unafanyiwa hayo yote.. wewe unakuwa umefanya nini!? Haswa.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tundu Lissu asirudi Tanzania kea Sasa, loyalists wa Jiwe bado wapo anaweza kudhurika.

Kibwengo alizuia mpaka kwa kuua watu wasiongee mabaya yake, Sasa kafa watu wasiongee tena huo ni UJUHA tu wa kizwazwa.

Kibwengo !
😄😄😄😄
 
Pole sana kwakuwa hakusema mnayoyapenda kuyasikia?

Hivi CHADEMA kwenu nyinyi ni maana ya haya maneno?

Demokrasia?
Uhuru wa maoni?
Uhuru wa vyombo vya habari?

Nauliza hili swali kwakuwa nimekuwa naona haya maneno mnayapenda pale mnapokuwa mnafurahishwa na muktadha fulani na kama ni jambo basi ni lile linalo wafurahisha nyinyi!
JF nayo imepitia moto sana awamu iliyoisha.
 
Back
Top Bottom