Uwezo wake kiuongozi ni mdogo sana. Chini ya JPM alifanya kazi kama tarishi. Sasa hivi anatakiwa afikiri, lakini inaonekana uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo. Anadhani kufoka ni sehemu ya uimara wa kiongozi.Pm hakujiandaa kuwa pm au anafanya kwa makusudi
Mwambieni hamtumuelewi
Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.
Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.
Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.
Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.
Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Aisee watu mnajua kudharauUwezo wake kiuongozi ni mdogo sana. Chini ya JPM alifanya kazi kama tarishi. Sasa hivi anatakiwa afikiri, lakini inaonekana uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo. Anadhani kufoka ni sehemu ya uimara wa kiongozi.
Kwa nini hawanukuu hivyo vifungu kudhibitisha wayasemayo?Huyu naye ni walewale hajausoma huo mkataba. Aache kuropoka (japo namheshimu). Mkataba wenyewe umeandika wazi, yeye anajisemea ya kutoka kichwani mwake. Waufute huo mkataba haufai.
Hatuwaamini tena! Na bado hatujasahau maneno ya PM alivyotudanganya kwamba Magufuli ni mzima,kumbe alishakufa.
Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.
Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.
Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.
Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.
Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Hii haiwezi kuwa lugha sahihi kwa Great Thinkers 😲kumakaripia mama'ko,
PM na Rais inabidi iwe partnership inayokubaliana na kushibana na kufanya kazi pamoja (as a team) Ndio maana kwa nchi yetu ya watawala na sio viongozi - Inabidi mtu kama Kawawa afanye kazi na Nyerere (Kawawa was Shielding Mabaya yote ya Nyerere hivyo watu kumuamini Nyerere na kufuata maelekezo na lawama kumuangukia Kawawa na kumlaumu; Nahisi kwa hapa au kwa hili huenda Samia anataka kumtupia zigo Majaliwa awe Kawawa wake - Kwanini nasema hivyo - Mwanzo alikaa kimya kuanza DPW)Uwezo wake kiuongozi ni mdogo sana. Chini ya JPM alifanya kazi kama tarishi. Sasa hivi anatakiwa afikiri, lakini inaonekana uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo. Anadhani kufoka ni sehemu ya uimara wa kiongozi.
Mkataba wenyewe badoMkataba unasemaje?
Wanasema Mkataba wenyewe bado hayo ni Makubaliano tuHuyu naye ni walewale hajausoma huo mkataba. Aache kuropoka (japo namheshimu). Mkataba wenyewe umeandika wazi, yeye anajisemea ya kutoka kichwani mwake. Waufute huo mkataba haufai.
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zakeWewe uko shimoni, hata hujitambui.
Ni Kwa Nini wapewe Bandari zote za Tzania Bara.Kwa Nini hUO mkataba usihusishe pia Bandari za Znzibar,Wakati Bandari Ni Swala la MUUNGANO?
Ina maana Zanzibar wao hawataki uwekezaji huu wenye Faida Kubwa ? Ati tuwaamini Viongozi! Tutawaamini vipi.Wao watachukuwa Chao mapema,anatawala miaka yake 10 anao doka madarakani.
Hiyo hasara yoote na mzigo wooote anabaki nao Mtanzania miaka yote 40 au 90 inayobaki.HALAFU HAO VIONGOZI WANAYOFANYA HAYO MAAMUZI YA HASARA HIVI, TAYARI WAMEJITUNGIA SHERIA YA KUTOSHITAKIWA baada ya kustaafu.
Kama MAAMUZI yao hayana HILA,Ni kwa Nini watunge Sheria ya kujiwekea Kinga ya KUTOSHITAKIWA kwa uovu na wizi wanaoufanya wanapokuwa madarakani
Huaminiki Hata kidogo.
Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.
Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.
Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.
Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.
Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.
Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.
Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.
Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.
Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Muda utaongea...
Na endapo uchaguzi ujao akigombea,tumkatae kwa kusemasema uongo. Atatudanganya sana huyu jamaa. Haaminiki tena.Huyu PM sidhani kama kuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye bado anamuamini. Kauli zake nyingi zina utata tangu aliposema JPM ni mzima anaendelea na kazi!
Atatumia nguvu nyingi sana watu kumuamini tena kauli zake