Poland yasema kuna shinikizo/pressure kali sana isemwe kombora lilipigwa na maskini Urusi

Poland yasema kuna shinikizo/pressure kali sana isemwe kombora lilipigwa na maskini Urusi

Aliyekuwa wa kwanza kuitetea Urusi ni Biden... Tena aliposikia zelensky akisema kombora limetokea Urusi, fasta alinyanyua simu kumuonya anyamaze asije kuwaingiza wanaNATO matatizoni.
Baada ya hapo akapiga tena simu Poland kuwaonya wasiseme kombora limetokea Urusi bali waseme ni mitambo ya Ukraine ya kudungulia makombora ilijivyatua kwa bahati mbaya 😂😂😂😂
Ulikuwa wapi wakati unasikiliza maongezi hayo ya simu?
 
Ni kweli kombora lilipigwa na Urusi lakini bahati mbaya shoga mkuu ambae ni Marekani amewataka LGBTQ wenzake wamsingizie Ukraine ili kuepuka makabiliano ya moja kwa moja na Russia.

Marekani, Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wamekubaliana kufanya lolote ili ionekane sio Urusi alirusha hilo kombora.... Hakuna mnato anayetaka kudumbukia kwenye black hole

huyu jamaa anahasira kishenz.
tuliza munkar kijana
 
Hata kwa Saddam Husein kuna wenzio walisema hivyohivyo huku wanakuna sharubu.Si huyo tu.Hata Afghanstan kule.Jamaa wenye midevu walisimama milimani Torabora huku wanafyatua risasi kutoka kwenye AK 47 zao na kusema hawawezekani.Wamarekani wakaingia na kuwaharibuharibu.Hadithi inaendelea.
Na mpaka leo Rais wa Afghanistan ni Biden na Spika wa Bunge la Afghanistan ni Nancy Pelosi.
 
Waongo hata kama ni ya Mrusi hakuna atakaye sogeza pua yake pale.

Mrusi dunia nzima inamuogopa sio Nato tu.

Juzi Biden ndiye alikuwa wa kwanza kusema Ukraine ndio inahusika na tukio hilo, sasa sisi watu baki ndio tujifanye we know better kuliko vyombo vya usalama na kijasusi vya Merikani??

Ushabeki mwingine hauna mantiki hata kidogo - hivi inaingilia akilini kwamba Merikani inaweza kujiingiza kichwa kichwa kwenye vita ya Ukraine kutokana na usanii wa uwenda wazimu wa Zelensky akishirikiana na Rais wa Poland ambao wote wanajulikana sana kwa chuki zao za kupitiliza maelezo kuhusu Taifa la Urusi - wako radhi kufanya lolote ili Urusi iteketee hata ikitokea mchezo wao wa kijinga ukasabanisha a WW3 thermonuclear exchange kati ya US na Russian na huo ukawa ndio mwisho wa Dunia -akili hizo Zelensky na Rais wa Poland hawana kabisa, wapo wapo tu mradi liende.

Bahati nzuri Biden na washauri wake wa karibu hawana akili matope kama za Marais tajwa hapo juu wanao taka Dunia nzima iangamie kutokana na EGOS zao hatarishi na za kishenzi, mchezo wao ungeweza kabisa kuleteleza/sababisha vita kubwa sana Duniani kama NATO wange invoke article5 bila ya kutumia busara.

Licha ya wishful thinking za maadui uchwala wa Taifa la Urusi imekwisha gundurika kwamba Ukraine ndio inahusika moja kwa moja na uvurumishaji wa roketi iliyo sababisha uharibifu nchini Poland, mabaki ya Roketi yanaonyesha imefyatuliwa kutoka kwenye launchers za S-300 air defense systems ambazo jeshi la Ukraine wanazo nyingi tu, lengo la kitendo hicho as I said ni kwamba kwa kuwa member wa NATO (Poland) kashambuliwa na Urusi basi NATO ifanye liwezekanalo ku-fast track invoking article5 to teach Russia a hard lesson - wanao yapanga hayo wanasahau kabisa kwamba Russia is still a thermonuclear Super Power mwenye ways and means ya kuwamaliza wote hao kwa mpigo,like it or not up2U
kumbuka onyo la Elon Musk alilo wambia viongozi wa Merikani na Ulaya nzima kwamba wasiwachezee Warusi - mark you Elon Musk is a scientist and Industrialist hajipendekezi kwa mtu au Taifa lolote, anasema ukweli mtupu kwa manufaa ya Dunia - sasa watakao puuzia onyo lake Mungu awasaidie maanake hawajui walitendalo.

Nawakumbuseni kwa mara nyingine tena kwamba hizi ngojera za eti ku-invoke article 5 ya NATO hiyo ni kwa ajili ya mataifa ambayo ni dhaifu kijeshi (Banana Republics) NATO hawana ubavu wa kutekeleza upuuzi huo kwa Taifa la Urusi, likumbukeni sana hilo.
 
Mtoa mada usichokielewa ni kuwa uwo umoja wao ni wa mchongo yani france au germany wakubali miki yao igeuzwa kuwa makazi ya nguchiro kwa ajili ya poland serious? yani Russia anaweza akaivamia kabisa poland na wenzake wasifanye chochote wazungu ni wanafki inapokuja kwenye mustakabali wa nchi zao wanazoziongoza maisha ya ulaya na utamu wake yale yote yapotee kwa ajili ya poland[emoji23][emoji23][emoji23] waota weye

Kwa sasa hivi Urusi imekua useless hata Poland haihitaji NATO, subiri uchunguzi.
 
Japo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.

Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".

In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".

On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.

"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.

Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland.
Unataka kuchanganyikiwa wew nyumbani kwako Ni dodoma milembe
 
Hata kwa Saddam Husein kuna wenzio walisema hivyohivyo huku wanakuna sharubu.Si huyo tu.Hata Afghanstan kule.Jamaa wenye midevu walisimama milimani Torabora huku wanafyatua risasi kutoka kwenye AK 47 zao na kusema hawawezekani.Wamarekani wakaingia na kuwaharibuharibu.Hadithi inaendelea.
Usifananishe Iraq Na Urusi , Mbingu Na Ardhi ,
 
Story haina ukweli ikiwa Biden mwenyewe siku ya kwanza kasema sio Russia sasa wangemuuliza kajuaje
Alisema wapi hivyo?wabongo bana,alisema inawezekana ikawa sio Russia ,lakini sio kusema sio Russia
 
Aliyekuwa wa kwanza kuitetea Urusi ni Biden... Tena aliposikia zelensky akisema kombora limetokea Urusi, fasta alinyanyua simu kumuonya anyamaze asije kuwaingiza wanaNATO matatizoni.
Baada ya hapo akapiga tena simu Poland kuwaonya wasiseme kombora limetokea Urusi bali waseme ni mitambo ya Ukraine ya kudungulia makombora ilijivyatua kwa bahati mbaya 😂😂😂😂

Ni sahihi unacho kisema, lakini kwa bahati mbaya kuna baadhi ya members ni wabishi sana watakuletea adithi za kuchonga tu mradi waiseme vibaya Urusi na Putin in particular - mataifa yanayo jifanya kuijia juu Urusi na kudai uchunguzi ufanyike kwenye vitu ambavyo ni so obvious kabisa hao lengo lao linajulikana, kwa bahati nzuri Rais Biden na washauri wake wenye akili zilizo tulizana, wamekwisha soma mchezo mzima wa Rais wa Poland na Zelensky - NATO hawawezi kujiingiza kwenye vita ya kuchongwa na Marais wasanii wa Poland na Ukraine - US na members wengine wa NATO wenye akili nzuri na msimamo wata wapuuzia tu madai ya Poland na Ukraine na hakuna lolote litakalo fanyika zaidi ya kuitisha vyombo vya habari na kupiga siasa mradi siku iende - ni hilo. NATO wasipo fanya juu chini kumuondoa madarakani Zelensky na kuionya vikali Poland nawambieni siku za usoni jamaa hawa wawili watakuja kusababishia Dunia majanga makubwa zaidi ya kuchonga tu ili mradi waikomoe Russia.
 
Japo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.

Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".

In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".

On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.

"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.

Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland.
Kwanini usiseme masikini marekani ...anatafutiwa kiama na nchi za ulaya ili kumuingiza vitani .....shika huu ukweli usa hana ubavu wowote wa kupigana na urussi amini usiamini
 
Mbona walisema atakayemsaidia atakiona cha Moto. Na watu kibao wanamsaidia na hakuna chochote anachofanya
Kwani huoni chamoto wanacho kipata kati ya urussi na nato ni nchi zipi zilizo teteleka? Wewe huoni Europe ina kufa
 
Alisema wapi hivyo?wabongo bana,alisema inawezekana ikawa sio Russia ,lakini sio kusema sio Russia
unlikely kiswahili ni nini? bomu ndio nimetua katumia neno unlikely kama alikuwa anajuwa kwanini wasifanye uchunguzi kwanza. Jana waziri wa Poland anasema Ukraine na Ukraine wanakataa hapo hapo wanakwambia bado uchunguzi
 
Back
Top Bottom