Poland yasema kuna shinikizo/pressure kali sana isemwe kombora lilipigwa na maskini Urusi

Poland yasema kuna shinikizo/pressure kali sana isemwe kombora lilipigwa na maskini Urusi

Mbona walisema atakayemsaidia atakiona cha Moto. Na watu kibao wanamsaidia na hakuna chochote anachofanya
Hivi we una elewa mrusi alicho kuwa anakisema kuna tofauti ya kumsaidia kuingia vita direct na kumpa silaha tena hizo silaha wengine wanamdai sio bure 😂 Alicho wakataza silaha zinazo weza dhuru Urusi direct.

Mbona Mrusi anazipuga hizo silaha za Nato huko Ukraine kwanini wasimkataze akizigusa watamshambulia 😂

Yani hao Nato basi nawao walimukea sunction Mrusi mbona hakuna nchi ya Nato imewavamia hao wanao nunua gas na oil tokea kwa Mrusi.

Hebu wambie basi Nato wamrushie silaha Mrusi au wampe Ukraine silaha zinazo weza piga mji mkuu wa Urusi kama wao wanaume.
 
Ni sahihi unacho kisema, lakini kwa bahati mbaya kuna baadhi ya members ni wabishi sana watakuletea adithi za kuchonga tu mradi waiseme vibaya Urusi na Putin in particular - mataifa yanayo jifanya kuijia juu Urusi na kudai uchunguzi ufanyike kwenye vitu ambavyo ni so obvious kabisa hao lengo lao linajulikana, kwa bahati nzuri Rais Biden na washauri wake wenye akili zilizo tulizana, wamekwisha soma mchezo mzima wa Rais wa Poland na Zelensky - NATO hawawezi kujiingiza kwenye vita ya kuchongwa na Marais wasanii wa Poland na Ukraine - US na members wengine wa NATO wenye akili nzuri na msimamo wata wapuuzia tu madai ya Poland na Ukraine na hakuna lolote litakalo fanyika zaidi ya kuitisha vyombo vya habari na kupiga siasa mradi siku iende - ni hilo. NATO wasipo fanya juu chini kumuondoa madarakani Zelensky na kuionya vikali Poland nawambieni siku za usoni jamaa hawa wawili watakuja kusababishia Dunia majanga makubwa zaidi ya kuchonga tu ili mradi waikomoe Russia.
Bado unaendelea na insha zako.., naona unaumia sana kuona super pawer wa mchongo akichakazwa na kataifa kadogo Tena jirani yake [emoji12][emoji12]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Waongo hata kama ni ya Mrusi hakuna atakaye sogeza pua yake pale.

Mrusi dunia nzima inamuogopa sio Nato tu.
Urusu analia kiasi hiki inasikitisha sana, tuliambiwa eti ana uwezo wa kuzima mitambo ya dunia nzima na yake yeye tu ikawa ndo infanya kazi
 
Japo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.

Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".

In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".

On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.

"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.

Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland. T
Utopolo tupu!!
 
Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.
Nimecheka sana na hizi akili........

Mpaka dunia inairank russia no.2 kijeshi . Think again nini maana yake!..

S.Power unaweza ukamsumbua akija kwako kama US alivyosumbuliwa Uaeabuni na Vietnam sababu hapigani Full war!..

Lakin ukitaka kujua maana ya Superpower jaribu kumvamia ili umgaragaze, halafu naye Aretaliate with full scale!!..... Vizazi vitahadithiana
 
Nimecheka sana na hizi akili........

Mpaka dunia inairank russia no.2 kijeshi . Think again nini maana yake!..

S.Power unaweza ukamsumbua akija kwako kama US alivyosumbuliwa Uaeabuni na Vietnam sababu hapigani Full war!..

Lakin ukitaka kujua maana ya Superpower jaribu kumvamia ili umgaragaze, halafu naye Aretaliate with full scale!!..... Vizazi vitahadithiana
Sisi Warusi tupo tayari kupiga NATO nzima na viunga vyake.
 
Nimecheka sana na hizi akili........

Mpaka dunia inairank russia no.2 kijeshi . Think again nini maana yake!..

S.Power unaweza ukamsumbua akija kwako kama US alivyosumbuliwa Uaeabuni na Vietnam sababu hapigani Full war!..

Lakin ukitaka kujua maana ya Superpower jaribu kumvamia ili umgaragaze, halafu naye Aretaliate with full scale!!..... Vizazi vitahadithiana

Wote tulijua Urusi namba 2, walikua wanaonyesha uwezo mkubwa sana kumbe yote hiyo paper tiger, leo Urusi inafungulia wafungwa wakapigane kisa kainchi kadogo kamezingua balaa.
 
Mbona babu yetu Biden ameanza kuogopa? Anasingizia kombora lilikosewa na vikosi vya Ukraine? Huu ni uoga
 
NATO waungane wakamchape Kiduku anawanyanyasa sana wajapan.

Leo kawashushia mzigo kweye bahari yao
USA ni mandonga tu, North Korea ingekuwa kama Iraq au Libya, supa pawa wa mchongo siku nyingi sana angeshajichukulia maujiko.

Kwa kiduku anaishiaga kufanya mazoezi mbuzi na kubweka tu
 
Wote tulijua Urusi namba 2, walikua wanaonyesha uwezo mkubwa sana kumbe yote hiyo paper tiger, leo Urusi inafungulia wafungwa wakapigane kisa kainchi kadogo kamezingua balaa.
Mlisema akishambulia nchi ya NATO mtaingia mzigoni. Juzikati kapiga Poland. Mbona mnaishia kubishanaa
 
Japo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.

Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".

In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".

On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.

"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.

Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland.
Angalia NATO wanavyokiambiana 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20221117-173520_Facebook.jpg
    Screenshot_20221117-173520_Facebook.jpg
    186.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221117-180730_Facebook.jpg
    Screenshot_20221117-180730_Facebook.jpg
    312.4 KB · Views: 5
Japo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.

Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".

In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".

On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.

"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.

Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland.
Endelea kujipa moyo huku barafu zinawamaliza hii ndio maana ya "vita baridi"
 

Attachments

  • 20221118_142539.jpg
    20221118_142539.jpg
    334.6 KB · Views: 6
Sasa Urusi analingana na USA kwa lipi?Urusi anatafutwa kimtindo kama Iraq alivyovamia Kuwait miaka hiyo(ya 1990's).Atajaa tu.Labda ashtukie mchezo.
Mrusi ameanza kuvimbiana leo na NATO? Tangu kipindi cha Stalin baada ya ww2 1945 wameanza kuvimbiana na NATO mpaka mwaka tuliyopo 2022 kipindi hicho hata Iraq haizungumziwi na wala haikuwepo dalili hiyo!

Kipi ambacho kinachokupa nguvu ya kuwa huyu waliyeanza naye mgogoro baada ya ww2 (1945) atafutiwe sababu kama ya Iraq na ya Kuwait ya 1990s?
 
Back
Top Bottom