Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ulikuwa wapi wakati unasikiliza maongezi hayo ya simu?Aliyekuwa wa kwanza kuitetea Urusi ni Biden... Tena aliposikia zelensky akisema kombora limetokea Urusi, fasta alinyanyua simu kumuonya anyamaze asije kuwaingiza wanaNATO matatizoni.
Baada ya hapo akapiga tena simu Poland kuwaonya wasiseme kombora limetokea Urusi bali waseme ni mitambo ya Ukraine ya kudungulia makombora ilijivyatua kwa bahati mbaya ππππ
Ni kweli kombora lilipigwa na Urusi lakini bahati mbaya shoga mkuu ambae ni Marekani amewataka LGBTQ wenzake wamsingizie Ukraine ili kuepuka makabiliano ya moja kwa moja na Russia.
Marekani, Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wamekubaliana kufanya lolote ili ionekane sio Urusi alirusha hilo kombora.... Hakuna mnato anayetaka kudumbukia kwenye black hole
Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia viongozi wakubwa wa Ulaya na Marekani wakiitetea Urusi na Kuiondolea hatia kwa kauli moja ...sijui hofu ni nini
Na mpaka leo Rais wa Afghanistan ni Biden na Spika wa Bunge la Afghanistan ni Nancy Pelosi.Hata kwa Saddam Husein kuna wenzio walisema hivyohivyo huku wanakuna sharubu.Si huyo tu.Hata Afghanstan kule.Jamaa wenye midevu walisimama milimani Torabora huku wanafyatua risasi kutoka kwenye AK 47 zao na kusema hawawezekani.Wamarekani wakaingia na kuwaharibuharibu.Hadithi inaendelea.
Inawezekana ila sina uhakika sana ingawa Wataleban mpaka leo wanaomba misaada kwa Marekani.Na mpaka leo Rais wa Afghanistan ni Biden na Spika wa Bunge la Afghanistan ni Nancy Pelosi.
Waongo hata kama ni ya Mrusi hakuna atakaye sogeza pua yake pale.
Mrusi dunia nzima inamuogopa sio Nato tu.
Mtoa mada usichokielewa ni kuwa uwo umoja wao ni wa mchongo yani france au germany wakubali miki yao igeuzwa kuwa makazi ya nguchiro kwa ajili ya poland serious? yani Russia anaweza akaivamia kabisa poland na wenzake wasifanye chochote wazungu ni wanafki inapokuja kwenye mustakabali wa nchi zao wanazoziongoza maisha ya ulaya na utamu wake yale yote yapotee kwa ajili ya poland[emoji23][emoji23][emoji23] waota weye
Unataka kuchanganyikiwa wew nyumbani kwako Ni dodoma milembeJapo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.
Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".
In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".
On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.
"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.
Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland.
Acha kukaririshwaWaongo hata kama ni ya Mrusi hakuna atakaye sogeza pua yake pale.
Mrusi dunia nzima inamuogopa sio Nato tu.
Usifananishe Iraq Na Urusi , Mbingu Na Ardhi ,Hata kwa Saddam Husein kuna wenzio walisema hivyohivyo huku wanakuna sharubu.Si huyo tu.Hata Afghanstan kule.Jamaa wenye midevu walisimama milimani Torabora huku wanafyatua risasi kutoka kwenye AK 47 zao na kusema hawawezekani.Wamarekani wakaingia na kuwaharibuharibu.Hadithi inaendelea.
Mbingu na mchanga kwao hao wawili.Siyo kwa USA.Usifananishe Iraq Na Urusi , Mbingu Na Ardhi ,
Alisema wapi hivyo?wabongo bana,alisema inawezekana ikawa sio Russia ,lakini sio kusema sio RussiaStory haina ukweli ikiwa Biden mwenyewe siku ya kwanza kasema sio Russia sasa wangemuuliza kajuaje
Aliyekuwa wa kwanza kuitetea Urusi ni Biden... Tena aliposikia zelensky akisema kombora limetokea Urusi, fasta alinyanyua simu kumuonya anyamaze asije kuwaingiza wanaNATO matatizoni.
Baada ya hapo akapiga tena simu Poland kuwaonya wasiseme kombora limetokea Urusi bali waseme ni mitambo ya Ukraine ya kudungulia makombora ilijivyatua kwa bahati mbaya ππππ
Sasa muhaho unatoka wapi?Nawaza niwanunulie kitafunwa gani watoto wenzio ninaowafuga hapa kwangu.Nasisitiza "kwangu"!Sijapanga nyumba ya mtu.
Kwanini usiseme masikini marekani ...anatafutiwa kiama na nchi za ulaya ili kumuingiza vitani .....shika huu ukweli usa hana ubavu wowote wa kupigana na urussi amini usiaminiJapo uchunguzi unaendelea, wote wakiwemo Warusi na Ukraine wamealikwa kwenye eneo la tukio, ila Poland inasema kuna presha kali sana kwamba isemwe kombora ni la Mrusi, yaani maskini Mrusi ametamaniwa sana, ametafutiwa sababu kwa kila namna na asipokua makini hii itamponza.....
Kwa sasa hivi Urusi imelemazwa na kataifa ka Ukraine kiasi kwamba hata Poland haitahitaji msaada wa NATO kuigaragaza Urusi, inaipiga mwenyewe.
Polish authorities warned Thursday that they have received "strong pressure" to admit that the projectile that fell Tuesday in the east of the country came from Russia and not Ukraine.
The Polish deputy foreign minister, Arkadiusz Mularczyk, said in an interview with Radio 24 that "there has been great pressure" and stressed that, if it were Russian, "this would have set in motion new dynamics in the country and around the world".
In this sense, he expressed his greatest sympathy with the families of the two fatalities registered as a result of the fall of the missile and stressed that, "unfortunately, everything points to the fact that it was an unfortunate accident and not an intentional act on the part of Russia".
On Thursday, the Ukrainian president, Volodimir Zelenski, indicated that Kiev has received an invitation to join a special international commission investigating the circumstances of the fall of the missile, according to the Ukrinform news agency.
"Yesterday we insisted that we should be included in this commission. Indeed, our experts will go to the scene and join the investigating community," he said, adding that no one is "one hundred percent sure" who is behind the launch.
Currently there is already a team of Polish and American investigators working in the area, as confirmed by an advisor to the president, Andrzej Duda, who has also ruled out that it was an intentional attack against Poland.
Kwani huoni chamoto wanacho kipata kati ya urussi na nato ni nchi zipi zilizo teteleka? Wewe huoni Europe ina kufaMbona walisema atakayemsaidia atakiona cha Moto. Na watu kibao wanamsaidia na hakuna chochote anachofanya
unlikely kiswahili ni nini? bomu ndio nimetua katumia neno unlikely kama alikuwa anajuwa kwanini wasifanye uchunguzi kwanza. Jana waziri wa Poland anasema Ukraine na Ukraine wanakataa hapo hapo wanakwambia bado uchunguziAlisema wapi hivyo?wabongo bana,alisema inawezekana ikawa sio Russia ,lakini sio kusema sio Russia
Anakupotezea muda.Una uhakika wa kunywa chai leo?? Maana naona unahaha sana