Endelea kujipa moyo huku barafu zinawamaliza hii ndio maana ya "vita baridi"
wenzaako wanamuogopa kama dubu we piga makele yako, huko saihivi wanaganga kwa baridiNaomba pro-Urusi mmoja ajitokeze na kuniaminisha huyu Urusi bado ni yule yule tuliyemuogopa, na kwamba huu udhaifu wote alioonyesha ni mtego tu na sio uhalsia.
wenzaako wanamuogopa kama dubu we piga makele yako, huko saihivi wanaganga kwa baridi
Sababu ni Kherson tu.Mpaka leo bado nataka kuamini huu udhaifu tunaona wa Urusi ni zuga tu, kutoa wafungwa wakapigane, kufukuzia vijana vijiweni na mengine mengi ni mtego tu, kwamba Urusi tuliyemjua bado yupo.
Jipage moyo kijana angalia wenzako wanaongalia satelaite image na kutoa matamkoMpaka leo bado nataka kuamini huu udhaifu tunaona wa Urusi ni zuga tu, kutoa wafungwa wakapigane, kufukuzia vijana vijiweni na mengine mengi ni mtego tu, kwamba Urusi tuliyemjua bado yupo.
Jipage moyo kijana angalia wenzako wanaongalia satelaite image na kutoa matamko
👇👇👇👇👇👇
As the morning wore on there and more intelligence came in, it became clear to American officials examining satellite-based intelligence systems and speaking to their Polish counterparts that the missile, which landed on a Polish farm in the country’s far east, appeared to have been launched by Ukraine as part of its air defense systems.
Ad Feedback
After several anxious hours, Biden was the first to relieve some of the tension, telling reporters that initial information suggested the missile was not launched by Russia.
TOPSHOT - US President Joe Biden speaks about the situation in Poland following a meeting with G7 and European leaders on the sidelines of the G20 Summit in Nusa Dua on the Indonesian resort island of Bali on November 16, 2022.
Saul Loeb/AFP/Getty Images
The relief among US officials was palpable. Contrary to their worst fears the preliminary intelligence suggested that Russia had not deliberately attacked Poland, one official said. But for Biden and his advisers, the episode still represented a situation they had long feared: an unintentional strike in NATO territory, for which the implications
Inside the US scramble to run down the facts as the Russia-Ukraine war spills into NATO territory | CNN Politics
President Joe Biden was asleep on the other side of the world when aides woke him up in the middle of the night there with urgent news: a missile had struck Poland and killed two people.edition.cnn.com
Mrusi ameanza kuvimbiana leo na NATO? Tangu kipindi cha Stalin baada ya ww2 1945 wameanza kuvimbiana na NATO mpaka mwaka tuliyopo 2022 kipindi hicho hata Iraq haizungumziwi na wala haikuwepo dalili hiyo!
Kipi ambacho kinachokupa nguvu ya kuwa huyu waliyeanza naye mgogoro baada ya ww2 (1945) atafutiwe sababu kama ya Iraq na ya Kuwait ya 1990s?
Hivi unajua Urusi imepakana na Marekani?Hapo kasheshe lipo ndani ya NATO. Kuna wanaoogopa kuchapika kwa kufanya hivyo na kuna mmarekani anayejidanganya yupo mbali sana na athari ya hiyo vita haitakuwa mbaya sana kwake. Ngoja tu wajichanganye, watajuta
ndo aombe msamaha mara mbili mbiliWaongo hata kama ni ya Mrusi hakuna atakaye sogeza pua yake pale.
Mrusi dunia nzima inamuogopa sio Nato tu.
ukiwa kubwa jinga bas hiko ni kilema cha milele yaan ashindwe maliza vita Ukraine hlf apigane na mataifa yote ya NATO , kuna mkitoroka milembe msikae karib na smartphones za dada zenuHakuna wa kuingia Vitani na Urusi hapo, akili yenu mnahisi Urusi yuko vitani na Ukraine?
Basi acha nchi moja ya NATO ijipendekeze ndio utajua vita vinakuwaje Duniani.
Ww ni kichaa wenyew wapolish wanasema wakurungwa walitaka isemwe ni URUSI ila ww mlala gizan kila siku unasema wamemwambia aseme UkraineNi kweli kombora lilipigwa na Urusi lakini bahati mbaya shoga mkuu ambae ni Marekani amewataka LGBTQ wenzake wamsingizie Ukraine ili kuepuka makabiliano ya moja kwa moja na Russia.
Marekani, Uingereza, Ujerumani na Ufaransa wamekubaliana kufanya lolote ili ionekane sio Urusi alirusha hilo kombora.... Hakuna mnato anayetaka kudumbukia kwenye black hole
Jisome likizo ikiisha urudi shule , kwamba Marekan na Urusi zipo mbali mbali ? [emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kasheshe lipo ndani ya NATO. Kuna wanaoogopa kuchapika kwa kufanya hivyo na kuna mmarekani anayejidanganya yupo mbali sana na athari ya hiyo vita haitakuwa mbaya sana kwake. Ngoja tu wajichanganye, watajuta
Wenzako hata syria walisema hivo hivo, ila mwisho wa siku huyo babaenu kaondoka na kuacha nchi ya watu.Hata kwa Saddam Husein kuna wenzio walisema hivyohivyo huku wanakuna sharubu.Si huyo tu.Hata Afghanstan kule.Jamaa wenye midevu walisimama milimani Torabora huku wanafyatua risasi kutoka kwenye AK 47 zao na kusema hawawezekani.Wamarekani wakaingia na kuwaharibuharibu.Hadithi inaendelea.
ndo ujue mkorofi nan hapo tofaut na mnavyodanganya , Ullaya wamemkaribisha Urusi kweny kila kitu cha Ulaya ila Urusi ndo anataka kuhatarisha usalama wa Ulaya kwa kupeleka vita mlangon mwa Ulaya aliombwa sana asiendelee na uvamiz wake ila kichwa maji akaendelea , kiufup ukitoa story nyingine tukasena tulizungumzie hili tu bila kutoka nje ya mada nasi Urusi kashafanya makosa mengi sana tang 2013Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia viongozi wakubwa wa Ulaya na Marekani wakiitetea Urusi na Kuiondolea hatia kwa kauli moja ...sijui hofu ni nini
pro Russia ndo wanaongoza kwa kuwaza ushoga inaonesha mnafirw@ sana , achen ushetan huo kinyeo kwa ajili ya haja kubwa tuSi mlitaka sababu hata ya uongo mkampige mrusi mbona mnaufyata sasa,pampers haziwatoshi