Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake akili zao anazijua sir God tu.Aache umalaya sasa,atafute kijana wa bodaboda amuoe ,Cathe bhana
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Kosa la Catherine ni mitandao ambayo alikuwa anaitumia kujimwambafai na mtu ambae bado ana pending issues na mke wake.Mbune Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamilili kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.
Walitofautiana kwenye mambo ya kimapenzi hivyo walitengana less than two years ago, they were still working
Chuma lakini kichwani ni sifuri kushinda hata BashiteIla Catherine ni chuma balaa
Nchi hii imechezewa sana, au nasema uongo mke wangu?Maisha ya Jamhuri ya Instagram, poleni wafiwa.
Hizi ndio sifa za viti maalum CCM , kuanzia kuvamia na kufanya fujo kwenye kampeni , kwenye vituo vya kupiga kura , kuvamia ndoa za watu hadi kuvamia mazishi ya hawara zao . Hao ndio VITI MAALUM 😂😂😂😂😂😂Msiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.
Dah!Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Hapa amekaa kuitwa Katarina tu mkorogo , yani yuko mawindoni . Nasa unase kisha unaswe 😂😂😂😂😂
Sawa.
Kwa nini aachwe mpaka talaka mahakamani?kaachwa zaidi ya miaka 2.
Mkubali tu Cathy kawazidi
Absolutely. Ndio maana kuna tume ya maadili ya utumishi wa umma.Kwa hii hoja yako mbona taifa litatakiwa kubeba aibu za watumishi wote wa umma. Mpaka mtunza bustani wa Halmashauri simply kwakua analipwa kwa kodi za watanzania wote.
😂😂😂😂Nchi hii imechezewa sana, au nasema uongo mke wangu?
Pole sana Sky kwa msiba huuMaisha ya Jamhuri ya Instagram, poleni wafiwa.
Tume ya maadili utumishi wanummaa ndio ina angalia vitu personal ?Absolutely. Ndio maana kuna tume ya maadili ya utumishi wa umma.
Hapa amekaa kuitwa Katarina tu mkorogo , yani yuko mawindoni . Nasa unase kisha unaswe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubunge unampa kiburi, asingekuwa Mbunge asingeleta taharuki hii.
Kupitia msiba huu wa hawara lazima kashapiga pesa nyingi za wabunge wenzio kwa mgongo wa rambirambi, ili kuhalalisha hili ndio kaamua kutumia nguvu kushiriki kuzika
Ambayo hiyo tume kazi yake ni kuhakikisha taifa halitiwi aibu na watumishi wa umma au siyo? Au labda mimi ndiye sijui kazi ya tume ya maadili?Absolutely. Ndio maana kuna tume ya maadili ya utumishi wa umma.