Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Aache umalaya sasa,atafute kijana wa bodaboda amuoe ,Cathe bhana

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Wanawake akili zao anazijua sir God tu.
Yaan mwanamke umuwekee wanaume wa makundi
1. Mme wa mtu
2. Mwanaume single

Sasa mwambie achague hapo. Hapo atachagua 1. Yaan wengi wana feel superiority kutembea na Mume wa mwanamke mwenzie.

Hii case ipo hasa hasa kwa hawa ambao ule umri umepita na hajaolewa na ana kanafasi kidogo.

Au nasema uwongooooo ndugu zanguuuuuu wakulungwaaaa ?
 
Mbune Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamilili kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.

Walitofautiana kwenye mambo ya kimapenzi hivyo walitengana less than two years ago, they were still working
Kosa la Catherine ni mitandao ambayo alikuwa anaitumia kujimwambafai na mtu ambae bado ana pending issues na mke wake.

Catherine alikuwa ni mtu kurusha kila wanachofanya kwenye instgram kwamba ni Mumeo kumbe bado hajawa official. Pia hukutakiwa kuingilia ugomvi wao na kuanza kumtukana original wife. Wewe bado ni mdogo Mungu atakubariki utapata mume mwingine ila kama atakuwa Divorcee basi kula kimya kimya uache mbwembwe.
 
Msiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.
Hizi ndio sifa za viti maalum CCM , kuanzia kuvamia na kufanya fujo kwenye kampeni , kwenye vituo vya kupiga kura , kuvamia ndoa za watu hadi kuvamia mazishi ya hawara zao . Hao ndio VITI MAALUM 😂😂😂😂😂😂
 
Picha ya Magige

image.jpeg


image.jpeg
 
Kwa hii hoja yako mbona taifa litatakiwa kubeba aibu za watumishi wote wa umma. Mpaka mtunza bustani wa Halmashauri simply kwakua analipwa kwa kodi za watanzania wote.
Absolutely. Ndio maana kuna tume ya maadili ya utumishi wa umma.
 
Lakini kwa Catherine Magige hii ni promo kubwa na ya msingi sana.

Tusisahau kwamba watu kama hawa wajasiriamali wa mapenzi wanategemea "kiki" ku-thrive.

Tulivyo wanaume, sasa hivi kila mwenye pesa ataanza kumwinda the popular politika hot chicka aweze kummega.

She knows it. Amepanda dau.

Kwahiyo kama kuna mtu anadhani Catherine kajishushia heshima, ajikosoe. She's playing a different game in a different field.
 
Una uelewa mpana Sana..hiyo ndo ilivyo
Ubunge unampa kiburi, asingekuwa Mbunge asingeleta taharuki hii.

Kupitia msiba huu wa hawara lazima kashapiga pesa nyingi za wabunge wenzio kwa mgongo wa rambirambi, ili kuhalalisha hili ndio kaamua kutumia nguvu kushiriki kuzika
 
Back
Top Bottom