Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!


Hii Inawezekana pia,siasa ina mambo mengi
Katika kuhangaika kuna sehemu alipita na kasahau
 
Hii Inawezekana pia,siasa ina mambo mengi
Katika kuhangaika kuna sehemu alipita na kasahau
Huyu Babu ni mkongwe anaongea HADI na mawziri waliopo humu nchini kama anampigia rafiki take wa karibu!!

Ananiambia siasa ni mfumo wa kilimwengu huwezi ingia halafu ukadumu hivi hivi!

Lazima uwe umepikwa eti ki Mungu Mungu huchomoki!!!
 
Babu yangu mzaa mama alifanya huo usenge kwa kuua watoto amebaki mwanae mmoja tu, pumbavu sana yule cheupe
 
Wengine hutoa kafara watoto wao kuna watu wazima wengine hovyo sana inanaliza watoto kwa kuwatoa makafara yasiyoisha
 
Mtoto wa ujanani wa mzee,du inaumiza sana, Watoto wa mzee wanakufa vifo vya ghafla sana, marehemu Ipi, Senyagwa, le MUTUZ
 
Duh noma sana! Ila wakati mwingine ni masuala ya kiroho sema watu hawaelewi!
Kanuni ninrahisi sana

Usimuache mwanamke wako wa ujanani baada ya kupata mafanikio!!

Yaani

Wewe kuwa na mke wa pili tatu nne lakini yule aliekuchemshia dawa za kuoga wakati unautafuta ukuu usimuache hata kidogo mpe maisha mpe kwake hakikisha hakosi kitu chochote yaani mdekeze!!

Babu aliniambia hii kitu!

Anasema UKimuacha tu mkeo baada ya mafanikio hata kama ni ya dawa kule kuumiza kwake tu ubapoteza na wadhifa wako!!!


Nilimuelewa sana!!
 
Aiseee 🤔
Sa mke wa ndoa nae (marehemu) si alimpiku mama ake na Huyu marehemu William!
Maana imebidi nikasome historia yake aiseee, Kuna kitu hakiko sawa
Sasa mke wa ndoa ndo alieolewa,Wanaume si huwa wanakuwa na girl friends wengi.Sema anachagua mmoja tu wa kumuoa .Ndo Ezerina Mwaipopo aliubamba moyo wa John.Akawa mkewe.Huyu mama alikuwa mwanasheria msomi. Na ndo maana hakuzaa kilaza.Wanae wote ni vipanga.
 
 
Ndugu zake waliofariki ni wanne.ipi,dr Merle na kuna wawili wali pats ajali pale mbuyuni osterbay
 
 
Halo huyo Anne kilango atakuwa kaenda kwao huko upareni Kuna kijijini kinaogopeka Kwa uchawi sio Bure aisee.
Huyo Tatu Ntimizi bado yuko hai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…