Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Kama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Hii kitu itakuwa ilipandikizwa na mama yao kama sikosei maana kuna binti mwingine alikuwa anasomea udaktari (RIP Ireen) mtanisamehe kama nimelikosea hilo jina yule mama hakutaka.kabisa kumsikia bahati mbaya alijiua kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe binti. Niliposikia kwa Le Mutuz picha ikajirudi, tuwaombee wapumzike wanapostahili maana aliyetuumba ndiye anayejua zaidi.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Inafikirisha sana.

Mzee kafanya kazi nyingi sana toka enzi za Mwalimu. Zile program za vijiji vya ujamaa...uhujumu uchumi...kununua Pajero zilizoleta balaa enzi za Mzee Ruksa toka kwa rafiki yake Rajan....Serikali ya Tanganyika chini ya Mwinyi....na mbio za kuwa Rais baadae.
Mpaka kuishia kujenga chama.

Ila kufiwa na watoto, kunaumiza sana. Pole Mzee Malecela
 
OIF.IZbuKpy8ek6Z9mtXRIbb9Q
Inauma!

Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.

Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.

Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.

Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.

RIP Le Mutuz
Mtoto wa tano huyu. Senyagwa, Ipyana, Dr Irene, Dr Mwele na William.
 
Kale ka mifupa na baadhi ya watoto wa mzee walimpiga sana vita lemutuz asitambulike kama mtoto wa mzee Malecela, lemutuzi siku zote aliandika kwa uchungu na kila kitu alikiweka wazi.

Lemutuz hakupata upendo wa wazazi wake mpaka alilelewa na baba yake mkubwa.

Alipambana mwenyewe kwenda Us.
Mzee alikuwa akimtambua kama mwanae na ni mtoto wake pekee alomfanana kuliko wote.
Ila mzee kuna nyakati alikuwa akimsaidia tho sio mara nyingi.

Kuna siku zamani sana mzee alimuandikia balozi wa malawi kama sikosei akimuomba amsaidie mwanae lemutuz. Hiyo barua iko insta kwenye pg yake.

Kale ka mifupa siku zote ni kumsema lemutuz sio mtoto wa mzee hapo lemutuz ataleta ushahidi wa vitu ambavyo mzee alimsaidia kama mwanae.

This world sometimes is stupid mtoto anazaliwa bila kosa lolote anateseka anatengwa kwa makosa ya wazazi.

Baada ya mafanikio lemutuz aliamua kujipa. Raha maana hakupata raha yeyote ya familia.
Mkiona anajilia raha mnaanza kupiga kelele mnajua alitoka wapi?
Baadhi ya watu hata humu jf mnatakiwa kusoma ukweli wa lemutuz kwenye pg. That's why aliamua kujipa raha mpaka kifo chake kinamkuta alikuwa anatoka batani.

Nadhani kale ka mifupa kameona jana baba yake alivyo muita lemutuz mwanae.

Tujifunze kutoka kwa lemutuz, kamwe wamama usizae na mtu ambae hataki kuzaa na wewe. Mtoto ataishi maisha ya shida sana.

Rip king.
 
Mkuu unauliza jibu hujui Jana serikali ilikosa mamilion mangapi toka Kariakoo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Jana Naibu Spika Zungu alikuwepo, na akaondoka mara moja Kwenda kwenye mgomo Kariakoo, kumwahi Waziri Mkuu.
RC Makala, hakuonekana kabisa, ndio alikuwa amebeba bango la serikali Kariakoo, usiku ktumbuliwa na nusu kupelekwa kusikojulikana-Mwanza.
 
Kuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.

Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.

Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake

Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.

Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.

Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.

Ni kawaida
Lakini huo sio mpango wa Mungu.

Ukiona hivyo ,ujue Kuna kitu mahali hakipo sawa
 
Kale ka mifupa na baadhi ya watoto wa mzee walimpiga sana vita lemutuz asitambulike kama mtoto wa mzee Malecela, lemutuzi siku zote aliandika kwa uchungu na kila kitu alikiweka wazi.

Lemutuz hakupata upendo wa wazazi wake mpaka alilelewa na baba yake mkubwa.

Alipambana mwenyewe kwenda Us.
Mzee alikuwa akimtambua kama mwanae na ni mtoto wake pekee alomfanana kuliko wote.
Ila mzee kuna nyakati alikuwa akimsaidia tho sio mara nyingi.

Kuna siku zamani sana mzee alimuandikia balozi wa malawi kama sikosei akimuomba amsaidie mwanae lemutuz. Hiyo barua iko insta kwenye pg yake.

Kale ka mifupa siku zote ni kumsema lemutuz sio mtoto wa mzee hapo lemutuz ataleta ushahidi wa hitu ambavyo mzee alimsaidia kama mwanae.

This world sometimes is stupid mtoto anazaliwa bila kosa lolote anateseka anatengwa kwa makosa ya wazazi.

Baada ya mafanikio lemutuz aliamua kujipa. Raha maana hakupata raha yeyote ya familia.
Mkiona anajilia raha mnaanza kupiga kelele mnajua alitoka wapi?
Baadhi ya watu hata humu jf mnatakiwa kusoma ukweli wa lemutuz kwenye pg. That's why aliamua kujipa raha mpaka kifo chake kinamkuta alikuwa anatoka batani.

Nadhani kale ka mifupa kameona jana baba yake alivyo muita lemutuz mwanae.

Tujifunze kutoka kwa lemutuz, kamwe wamama usizae na ambae hataki kuzaa na wewe. Mtoto ataishi maisha ya shida sana.

Rip king.
Umenena!
 
Hii kitu itakuwa ilipandikizwa na mama yao kama sikosei maana kuna binti mwingine alikuwa anasomea udaktari (RIP Ireen) mtanisamehe kama nimelikosea hilo jina yule mama hakutaka.kabisa kumsikia bahati mbaya alijiua kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe binti. Niliposikia kwa Le Mutuz picha ikajirudi, tuwaombee wapumzike wanapostahili maana aliyetuumba ndiye anayejua zaidi.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kuna binti mwingine Visiwani, ukimuona wala huna hata haja ya kuuliza, Niliwahi kuishi naye jirani siku mke wangu aliponiambia kuwa yule binti wa Mzee Malecela wala sikushtuka maana maana ni kama baba kama mtoto.
 
OIF.IZbuKpy8ek6Z9mtXRIbb9Q
Inauma!

Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.

Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.

Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.

Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.

RIP Le Mutuz
Katika Watoto wake wote aliopoteza,aliyewahi kunisikitisha ni yule Mwanasayansi Dr Mweli Malechela..

Aisee very sad kumbe unaweza zaa na ukazika wote ukabakia mwenyewe tuu unateseka uzesni.
 
Kama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Duh na watamalizana wote bado na wale watoto wa mama Yao mdogo wa nje, na inakuwaje unagombania Mali za mzazi si utafte zake. Na wasiwasi na huyu mke mdogo kumaliza watoto halali
 
Back
Top Bottom