Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mpaka anahama ujue kuna magap kayasoma.Kuna manzi amefanya uamuzi wa kuhama (categorization) kutoka ualimu kuwa transport officer wa halmashauri. Unamshaurije? Level ni diploma
Cc; mkarimani feki
usafirishaji hakosi nauli hapo,ni jambo jema.Kuna manzi amefanya uamuzi wa kuhama (categorization) kutoka ualimu kuwa transport officer wa halmashauri. Unamshaurije? Level ni diploma
Cc; mkarimani feki
Kilimo mkuu halmashaur amna magap?usafirishaji hakosi nauli hapo,ni jambo jema.
msaala uchumi,kilimo na afya hutoamini msoto huo
njaa kali,labda uwe mkuu wa idara. ma afsa kilimo wengi huku wamegeukia utendaji atleast nauli zinapatikanaKilimo mkuu halmashaur amna magap?
Dah me nikajua kilimo mamb n mazr maan na mm nimesoma kilimo ila nipo prvat kuna ajira natak ni apply zimetoka.njaa kali,labda uwe mkuu wa idara. ma afsa kilimo wengi huku wamegeukia utendaji atleast nauli zinapatikana
Watendaji si wapo mzee.njaa kali,labda uwe mkuu wa idara. ma afsa kilimo wengi huku wamegeukia utendaji atleast nauli zinapatikana
nenda wizarani ama taasis kama Tari,TFRA nkDah me nikajua kilimo mamb n mazr maan na mm nimesoma kilimo ila nipo prvat kuna ajira natak ni apply zimetoka.
adimu sana,Watendaji si wapo mzee.
ila ukitaka side haso sawa kilimo kinawatoa wengi, ila posho za kazini hazipo kabisaa.Dah me nikajua kilimo mamb n mazr maan na mm nimesoma kilimo ila nipo prvat kuna ajira natak ni apply zimetoka.
Mbn watendaji ni wengi sanadimu sana
Ila anasema anahamishwa mshahara ni uleule sijui nini atafaidika nacho akiwa halmashauri?Mpaka anahama ujue kuna magap kayasoma.
Nje ya nauli ana kingine?usafirishaji hakosi nauli hapo,ni jambo jema.
msaala uchumi,kilimo na afya hutoamini msoto huo
Wakuu wa idara wa halmashauri wanafaidi kiaina sio?njaa kali,labda uwe mkuu wa idara. ma afsa kilimo wengi huku wamegeukia utendaji atleast nauli zinapatikana
Kaka vipi maslahi ya afisa tarafa au mtendaji kata?njaa kali,labda uwe mkuu wa idara. ma afsa kilimo wengi huku wamegeukia utendaji atleast nauli zinapatikana
Kuna manzi anatoka ualimu anaenda kuwa afisa usafiri halmashsuri. Mkurugenzi kampitisha, ila afisa elimu akamshauri sana bora abaki kwenye ualimu. Ila mwalimu kakomaa aende halmashauri. Kwa maelezo ya wazoefu wa halmashauri ni kama hakuna unafuu wowote atakaopata akienda halmashauriUkifika halmshauri wote wamenuna..... Njaa kali. Majukumu tembo mshahara sungura!
Wengi wanapambana kuhamia utendaji wa kata ili wake rushwa
Kuna manzi anatoka ualimu anaenda kuwa afisa usafiri halmashsuri. Mkurugenzi kampitisha, ila afisa elimu akamshauri sana bora abaki kwenye ualimu. Ila mwalimu kakomaa aende halmashauri. Kwa maelezo ya wazoefu wa halmashauri ni kama hakuna unafuu wowote atakaopata akienda halmashauri
Ualimu ana tgts ipi na uafisa usafiri tgs c1 Kwa dip!Kuna manzi anatoka ualimu anaenda kuwa afisa usafiri halmashsuri. Mkurugenzi kampitisha, ila afisa elimu akamshauri sana bora abaki kwenye ualimu. Ila mwalimu kakomaa aende halmashauri. Kwa maelezo ya wazoefu wa halmashauri ni kama hakuna unafuu wowote atakaopata akienda halmashauri