#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

Bwana mdogo mbona kila kitu kiko wazi? Wewe hujui, kwenye mataifa makubwa wanasayansi wakubwa wanapatikana wapi.

Hii ya panya, nenda SUA utaona hata jina la panya aliyepewa tuzo ya kutegua mabomu mengi zaidi ya ardhini huko Cambodia.
Mbona unaruka swali bwana mkubwa, we nipe tu reference ya hao wanasiasa wakubwa duniani ambao walikuwa wanajeshi
 
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.

Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.

"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole


Alaah Ndio maana alichaguliwa kipindi kile
 
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.

Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.

"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole

Sasa Covid ni "LOCAL PROBLEM!" kichwa kimejaa funza....
Aendelee na kutuchambulia "VIEITE" na kujirekodi akichezacheza kama t*mbirï inatosha, hayo makochi mjengoni ayatumie tu kwa kusinzia, kufyat** hewa, na kugonga meza..
 
Huyu mbunge wa viti maalumu amekuwa adimu Sana kwenye camera siku hizi
 
Atawafunga adabu!!!😆😆😆😆🤣🤣🤣
 
Madalali wa corona wamekasirika mpaka wanataka kupasuka.

Wanataka kupiga cha juu kwenye hayo machanjo ya wazungu yenye sumu.
 
Mkuu ushauri wake ni mbaya. Bado ana mawazo "Tunaonewa wivu", "Tunahujumiwa". Mpaka sasa hatujafanya utafiti wa corona (uviko) lakini tayari tumeshakimbilia kutengeneza kiwanda cha dawa tena za mimea. Huyu bado anazungumzia bupiji, covidol, nimcarf na kadhalika. Kwa sasa angejikita zaidi kwenye vitu tunavoweza - kujikinga na kuchukua tahadhari!! Swala la mimea dawa (home remedies) tuachiwe majumbani mwetu!!
Wewe dalali wa chanjo umeshavurugwa kichwa unafikiri chanjo za wazungu ndizo "SI UNIT" ya ubora.

Ukiambiwa umeze majani ya muarobaini unawaka kwa hasira... ati ooohhh haina ubora!

Haujui kwamba hata hiyo chanjo yako ya mjeremani imetengenezwa kwa majani haya haya isipokuwa wao wameongeza masumu mengine yanayoua taratibu.

Ohhh nataka chanjo kutoka Jeremani!!!

Take local herbs, acha ushamba wewe guluguja uliyeharibiwa ubongo na wajeremani.
 
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.

Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.

"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole

Hivi huyu chakubanga ana akili timamu kweli au wadudu wameshapanda kichwani? Maana alioanza kupiga mabilioni kwenye ile project haramu yakununua wapinzani uchwara aliacha kutumia ARV zake
 
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani ya CCM.

Polepole amesema watu watatibiwa na kupona na mimea dawa lakini Rai yake kiwanda hicho kisiwekwe Uraiani badala yake kifichwe kwenye Kambi ya Jeshi ambapo hakuna mtu anaweza kufika kwani ni Vita na wakijua zinatengenezwa dawa kupambana na Uviko watahujumu.

"Nimesikia wakubwa jana wanasema tupewe chanjo Bilioni moja tuje kudungwa hapa, nilikuwa natoa Rai tuwekeze vya kwetu, local solution for local problem" Alisema Polepole


Chakubanga muongo, Corona siyo local problem, ni janga la kimataifa!
 
Huyu jamaa ndio alikuwa anamdanganya hayati pia kuhusu vita ya kiuchumu.. Kweli kabisa nani anataka vita na Tanzania na kwa sababu zipi? Ukiona Congo na Ivory Coast ndio utaelewa wakiamua lao hawashindwi

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Zinduka wewe, hao wazungu wanafanya biashara ya madawa pamoja na ujasusi wa kibayolojia.

Hiyo corona kama ingekuwa ni gonjwa la hatari kiasi hicho tungeshuhudia watu wanakufa hovyo huku mitaani.

Ndio maana mabeberu wako bize wanapika takwimu bandia za vifo ili watu wajae hofu. It is propaganda!

Hafi mtu hapa. Hayo machanjo yenye sumu mkajichanje na mama zenu.

We are very fine here. Mtajibaraguza na hayo machanjo yenu uchwara lakini hamtafanikiwa.

Wanakuja wajinga hapa ati ooohhh tunataka chanjo ili tuzuie maambukizi!

Maambukizi? seriously!?

Hayo maambukizi yako wapi mbona mimi siyaoni!?
 
Tunahangaika sana kutafuta mbinu ya kuficha kabla ya kutafuta hicho cha kukificha ?
Una Hakili sana, Ebu huyu Polepole anaongealea Kuficha nini; Yeye na Boss wake Waliudharau ugojwa wakasema Haupo Je leo hii yeye anapanga Kuficha Nini ambacho Mataifa Mengine Hayana. Tunajua Yeye na Boss wake Walipereka ndege Madagasca ; Lakini wapi Mungu akatuonyesha Ukuu wake kwa Kuwatwaa Uliokuwa wanatupotosha.
 
Wewe dalali wa chanjo umeshavurugwa kichwa unafikiri chanjo za wazungu ndizo "SI UNIT" ya ubora.

Hata ukiumwa makalio unataka kupewa chanjo kutoka Ujeremani.

Ukiambiwa umeze majani ya muarobaini unawaka kwa hasira... ati ooohhh haina ubora!

Haujui kwamba hata hiyo chanjo yako ya mjeremani imetengenezwa kwa majani haya haya isipokuwa wao wameongeza masumu mengine yanayoua taratibu.

Ohhh nataka chanjo kutoka Jeremani!!!

Take local herbs, acha ushamba wewe guluguja uliyeharibiwa ubongo na wajeremani.
Baba alisemaga hivyo hivyo, sasa hatunaye! Baba tamisemi wa zamani naye akatuletea season za nyungu, sasa hivi yupo sambamba na njia za kisasa za kupambana na Corona, Wewe endelea na u-gamboshi!
 
Baba alisemaga hivyo hivyo, sasa hatunaye! Baba tamisemi wa zamani naye akatuletea season za nyungu, sasa hivi yupo sambamba na njia za kisasa za kupambana na Corona, Wewe endelea na u-gamboshi!
Upuuzi mtupu.

Kunywa dawa za asili wewe achana na hayo masumu ya wazungu.

Kujitia tia tu ujuaji na usomi uchwara!
 
Janga la kimataifa wapi mbona sisi tuko hapa kariakoo na hatujaugua japo mafua?

Janga la kimataifa my foot!

Kwendeni huko na machanjo yenu uchwara!
Basi, siyo janga la kimataifa, ni local problem, lakini Kariakoo hamjaugua mafua, your foot!
 
Back
Top Bottom