#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

Bado ana element za mwendazake. Maana yeye kila kitu jeshi. Korosho Jeshi, kuteka maduka ya fedha Jeshi, Kuiba uchaguzi Jeshi. Yaani yeye yuko kwenye Jeshi jeshi jeshi jeshi. Apuuzwe tu. Corona sio homa ya kideri ya kuku.
ANAJARIBU KULITONGOZA JESHI APINDUE NCHI, .... THESE CHICKEN IQS!
😅
 
Yeye si alisema ni bora corona kuliko chadema???leo hii anataka tena dawa ya kutibu hiyo corona???kweli nyani haoni mkundule
 
Unaweza kuficha kiwanda mbali mabeberu washindwe kufika!!
Iran wana kiwanda cha nuclear wamekificha lakini mabeberu wanafahamu.
Huyu Polepole mweupe sana, bora aendelee kukaa kimya siku iingie
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Iran na Majirani wote wa Israeli wameshindwa kuficha nyuklia na wataalamu wao ndio polepole aje na mbwembwe za eti kuficha kiwanda cha tunguli?
 
Is this a local problem?this stupid modderf**k is not serious!,this is an international problem.
 
Acheni wabunge wazalendo walete mawazo ya kitaifa. Msipayukepayuke kama mbayuwayu
 
Tartiiiibu mtakuja kukuta kumbe Magufuli=mama Samia, sijui Mtajinyonga a mtaenda lamba ndimu
 
..majuzi niliona habari za jeshi letu kupokea misaada toka kwa Marekani na Ujerumani.

..na tulipokea misaada hiyo wakati VITA DHIDI YA MABEBERU imepamba moto kweli kweli.
 
Sawa, jiunge na huyo kivumishi kipumbavu, na mbunge wenu mzee kijana, mjitegemee, lakini Tanzania ya sasa ipo sambamba na ulimwengu!
Mkuu naomba unijibu. Tanzania kujitengenezea dawa yake shida iko wapi? Mbona India imejitengenezea chanjo hujalalamika?
Mpaka lini tutaacha kutegemea nchi zingine?
 
Jeshi jeshi, kujenga ukuta jeshi, kununua korosho jeshi, kulinda bank jeshi, mlitaka kuweka mabasi ya jeshi kusafirisha abiria.
Ondoa upuuzi wako hapa.

Hivi hiyo Vita ipigwe Tanzania tu mna nini zaidi ya nçhi nyingine Africa?
Kiwanda ni Cha watanzani kijengwe uraiani
 
... isije ikawa safari hii wakaunda kirusi hatari zaidi kwa kupata 'hybrid' ya virus wa panya na wa binaadam na kutuletea COVID-20++ ...!
 
Kuna kitu kinaitwa "Lateral thinking", kinadai kuheshimu mawazo tofauti na ya kwako. Huyo mbunge ana hoja!. Chanjo za Astrazeneca na Johnson Johnson zote zina matatizo ya kusababisha damu kuganda;hazifai lakini pia hazihitaji kuhifadhiwa kwenye baridi kali pengine ndiyo sababu Astrazeneca ndizo zinazoletwa afrika. Zimetiliwa shaka marekani na ulaya ila kwa sababu za kibiashara zinaendelea kutumika lakini zinaua!. Chanjo hizi hazizui maambukizi ya virusi ila usiugue sana unapopata virusi na hii haina garantii. Sasa hapo kwa nini usitumie dawa zako? Dawa ya kwanza ni kumuomba Mungu na amejidhihirisha na tumeona kwa CORONA hata kwa JOBO!.Tutumie vyetu huku tukiibia na vya wazungu.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu naomba unijibu. Tanzania kujitengenezea dawa yake shida iko wapi? Mbona India imejitengenezea chanjo hujalalamika?
Mpaka lini tutaacha kutegemea nchi zingine?
Huwezi kujitengenezea dawa kwa kujitenga na dunia ama kwa nia ya ku-show off kwamba na Sisi tunaweza! India ni waasisi wa tiba za madawa, hata Magharibi walikopi kwao, lakini msingi wa sayansi yao ya madawa si kutaka kujiondoa ‘ulimwenguni!’
Na hiyo kujitegemea yenu ni nini? Nyungu, pili pili na majani ya mapera?
 
... wamezoea mahera ya burebure ambazo, kwa kiingereza cha Mang'waza, tunaziita 'JA BHOYO'!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…