Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Upo mbali sana ila jipe mda utaelewa
 
Polepole is a fool. Na bahati.mbaya hajui kusoma Alana za nyakati...wale wote walioumia kwenye awamu iliyopita hawajasahau Nini kiliwatokea. Na hawapo tayari kusamehe. Ajiandae kwa maumivu zaidi
Atayakumbuka ma "Vieite"
 
Kinachonifurahisha ni kwamba analalamika akidai kuwa ana uhuru wa kuzungumza lakini kipindi akiwa top alikuwa hataki wanaopingana na mawazo yao wazungumze alidiriki hata kuwatishia.

Kweli maisha gwaride, ukisikia nyuma geuka ...
 
A failed politician can easily be bought and sold
 
Kama hivyo ilivyofanyika ndio mnalipiza kisasi cha kijinga hivyo?
 
Nimeenda kuangalia kamusi ili nijue maana ya neno mhuni, kumbe mhuni ni neno pana ila tafsiri yake kuu ni mtu ambaye hajaoa, ila pia pamoja na kutooa kuna viji- characteristics Kama Saba hivi vya mhuni, ambavyo ni kutokuwa na familia, uvaaji wa kutepesha suruari, kuvuta sigara unamolala, mpangilio mbovu wa chumba, kutoheshimu wakubwa na mengine mengi. Kumbe unaweza ukawa umeoa lkn ukawa na vijitabia vya uhuni so bado na wewe utahesabika ni mhuni. Kwa kuangalia mpangilio wa ghetto la polepole aiseeee yeye ndo ni mhuni namba moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…