Mungu aipe CCM uhai mrefu wa kuwa wapinzani mtashuhudia kila rangiMedia ziko kibiashara mnategemea mteremko, jinga kabisa.Kipindi cha uchaguzi ni cha kufanya biashara unategemea media zitumie mb zake kutangaza pumba za chadema. Zameni mfukoni mtaona media zitakuja kwenu
Ndiyo maana nikeita tetesi wewe. Acha kubwata.Weka uthibitisho wa authentic audio ambazo Polepole na Abbas wakitishia watu. Vinginevyo we ni mnafiki ambae unatafuta kick tu.
Tetesi za kipumbavu.Ndiyo maana nikeita tetesi wewe. Acha kubwata.
Nyie chadema habari zenu zinarushwa na CCN, BBC na DW .
Sasa mnalalamika nini
Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu
Kuna audio ya Polepole nimesikilizishwa (japo source amegoma kuirusha kwambangu, hivyo sitoiweka hapa) na kuna namba ya simu ya Abbas na muda aliyopiga nimetajiwa.
Kama hii kitu ni kweli siyo uzushi, basi ni dhahiri shahili kwamba ccm na mawakala wao akina Abbas wana wasiwasi usio mithilika kiasi cha kukosa usingizi. Na hii inazidi kumpalilia njia Tundu Lisu
My take.
Kama Lisu ameshinda kifo cha risasi basi hata uchaguzi wa hila atashinda kwa kudra zake Mola. Amen!
Media ziko kibiashara mnategemea mteremko, jinga kabisa.Kipindi cha uchaguzi ni cha kufanya biashara unategemea media zitumie mb zake kutangaza pumba za chadema. Zameni mfukoni mtaona media zitakuja kwenu
Ni aibu kutamka maneno Kama haya vyombo vya habari ni vya wananchi so kila mtanzania anatakiwa kupewa nafasi sawa kwa vyombo vya habari kwa kuwa hivyo vyombo ni Mali ya umma si Mali ya mtu mmoja Ni Kodi ya watanzabia wote wanachama na wasio na chama.Nyie chadema habari zenu zinarushwa na CCN, BBC na DW .
Sasa mnalalamika nini
Majungu na Propaganda.
Mkuu kwahiyo umeachana na ushoga?Msaliti Lissu hapati kitu arudi tu huko kwa Mabeberu akatetee ushoga
Weka uthibitisho wa authentic audio ambazo Polepole na Abbas wakitishia watu. Vinginevyo we ni mnafiki ambae unatafuta kick tu.
Wekeni ushahidi juu ya Polepole na Abbas kutishia wamiliki wa vyombo vya habari. Tena muweke audio clip authentic jinsi wanavyotishia. Vinginevyo ni uzandiki.Watu waovu huwa wanaweka uovu wao hadharani? Wenye media wanakiri tabia hiyo. Hizo ni tabia za vyama vyote vilivyochukua utawala kutoka kwa wakoloni, huwa wana tabia ya kushuritisha vyombo vya habari kuwabeba, na kukandamiza vyama washindani wao.
Vyama vya kiimla au una maana gani?Watu waovu huwa wanaweka uovu wao hadharani? Wenye media wanakiri tabia hiyo. Hizo ni tabia za vyama vyote vilivyochukua utawala kutoka kwa wakoloni, huwa wana tabia ya kushuritisha vyombo vya habari kuwabeba, na kukandamiza vyama washindani wao.
Kama ata ile ya kaeni na Bwege wenu ulikanusha sasa utakubali ili?Wekeni ushahidi juu ya Polepole na Abbas kutishia wamiliki wa vyombo vya habari. Tena muweke audio clip authentic jinsi wanavyotishia. Vinginevyo ni uzandiki.
Hata TBC chombo cha habari cha TAIFA?
Vyama vya kiimla au una maana gani?