Uchaguzi 2020 Polepole: Tunataka kuona NEC ikitenda haki, ole wake Tundu Lissu asipoitikia wito wa Tume!

Uchaguzi 2020 Polepole: Tunataka kuona NEC ikitenda haki, ole wake Tundu Lissu asipoitikia wito wa Tume!

Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.

Chanzo: TBC

My take: Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu chakubanga ni hatari kuliko korona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.

Chanzo: TBC

My take: Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.

Maendeleo hayana vyama!
Hii inaonesha tume inaamuliwa naccm nini kifanye.
Safari hii mtatumia kila siraha ya vita lakini hamtashinda
 
Unafahamu maana ya nguvu ya umma?! Unadhani hao kwenye mikutano ya Lissu wenu ndiyo nguvu ya umma?! Unadhani kumuua Mlelwa ndiyo nguvu ya umma? Unadhani kushinda mitandaoni kuandika hili la like dhidi ya JPM ndiyo nguvu ya umma? Hujui nguvu ya umma wewe....fanyeni fujo after October 28th ndipo muone nguvu ya umma...
Ole wenu afe mtu mmoja
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.

Chanzo: TBC

My take: Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo ccm mlimtuma mkurugenzi wa uchaguzi amwite Lissu na sasa unatishia afanye mtakavyo? Ni yeye Lissu 202p
 
Div zero inapotaka kushindana na akili kubwa. Hatari sana
 
Jina la ukoo wake umeathiri ukuaji wauelevu wake. Polepole tuliyemfahamu kwenye tume ya katiba siye huyu, inawezekana kwenye ziara za wachina CCM walibadilishiwa wakachomekewa Polepole feki.
Duh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wagombea fungieni mbwa wenu maana hawana faini ya kulipa.:askofu bagonza
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.

Chanzo: TBC

My take: Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.

Maendeleo hayana vyama!
Ole wake kwani ni lazima kila agizo mnalomuagiza Kampeni Meneja wenu (Mkurugenzi wa NEC) alitekeleze? mengine anapima hata kama alishajitoa akili. Pole pole shule yake ndogo hawezi elewa haya mambo magumu kwake
 
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.

Chanzo: TBC

My take: Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna stage tatu wanazopitia wagonjwa wa UKIMWI

1. Ukimwi baridi; Akili zitavurugika mwanzo kwa sabau ya panic lakini baadae utatulia na kuwa na utimamu wako wa kaiwada

2. Ukimwi vugu vugu: Unaanza kupoteza uwezo wa kufikiri mambo kwa busara na mara nyingine unaongea pumba


3. Ukimwi moto: Unakuwa kama umechanganyikiwa vile kila unachokifikiria unakiongea tu bila hata kutathimini

Sasa Pole x2 mtajuwa wenyewe yupo stage gani kwa sasa.
 
Anaongea kama nani,TL wanamjua au wanamsikia.hata hao tume hawana cha kufanya.he mgombea wa ccm amewahi kuitwa lini licha ya kukiuka maadili.au maadili hayo ni kwa ajili ya TL.Uzuri wanaecheza nae sio fara anawazidi hao mbwiga.

Kiufupi,huu mwaka sio wa mazoea washaambiwa sana tu.polepole kama nani ambaye haone KUNDULE.
 
Ole wenu afe mtu mmoja
Interesting...CCM haiwezi kuua watu wake...serikali haiwezi kuua watu wake...ila magaidi wa chadema tayari wameshaua mtu..wamemuua Mlelwa huko Njombe...bado vitisho vinaendelea kutika mdomoni mwa baadhi ya wanachadema wajiwemo viongozi wait kuwa wataingia mitaani kwa madai ya wanachoita kuporwa ushindi wao kwenye uchaguzi utakaofanyika oktoba 28...yaani chadema wamejitangazia ushindi hata kampeni hazijamalizika na kura hazijapigwa...Sasa watanzania kwa mamilioni wamekaa kinya kusikilizia hapo baada ya Oktoba 28 Hawa magaidi watafanya Nini..
 
Tume yenyewe saivi mavi kitambaani Lissu amewapa homework kwanini Majaliwa Kassim Majaliwa anaenda kila mahali kumpigia kampeni Magufuli, sheria za maadili zinakataza Lissu anasubiri majibu ya tume mana Majaliwa ata kuitwa hajaitwa
 
Chakubanga mbona anatapatapa sana kampeni hii , au baada ya ushauri wake kwa Jiwe kuwa kununua wabunge na madiwani wa upinzani upinzani utakufa kubuma , matokeo yake ndio umeimalika zaidi na zaidi .
IMG_20200928_120550.jpg
 
Back
Top Bottom