Swali zuri sana hili.Polepole siku hizi ni msemaji wa tume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana hili.Polepole siku hizi ni msemaji wa tume?
Kwa hiyo Popolele ndo mwenye tume?Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi watu mnapata wapi maneno haya.....eti mtatafuna vizibo vya peni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo Popolele ndo mwenye tume?
Hoja hazijibiki , mtatafuna vizibo vya peni na majibu ya hoja za lissu hampati. SHUBARAMIT!!
Si unakumbuka mkuu, wakati wa paper ukiona mtu ameanza kutafuna kizibo cha peni, ujue tayar kanasa.....Hivi watu mnapata wapi maneno haya.....eti mtatafuna vizibo vya peni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siyo tume tu, ni msemaji wa jeshi la Polisi pia.Polepole siku hizi ni msemaji wa tume?
Kwake Sasa angesema anataka sema tume, iwadhulumu waliowekewa zengwe , Mimi ningemuelewa.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
slow slow anaishurutisha tume haya ni maajabuMwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Dawa yenu ni maneno machache tu ,Uhuru,haki na maendeleo.Polepole ndiyo kiboko ya Lissu
Inaeleweka hii, hata zile karatasi alizokua anasoma mkurugenzi wa Tume na zenyewe ni maelekezo yameandikwa tayari, yaliotoka CCM.
Bwana Mahera na domo lake lile kama Nguruwe, alikua anasoma tu.
Naamini kabisa ilikua akili ya Polepole imetumika kujibu hoja za Lissu kupitia NEC.
Uchaguzi huu lazima tupasuane matumbo, tulane maini wenyewe kwa wenyewe.
Polepole ana nguvu gani kisheria ya kumwambia mtu ole wake, kwani yeye ni mtumishi wa NEC.
Waswahili wanasema mtu hakatai wito, anakataa neno.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Bora Kama ni time peeke,Bali pamoja na mbelekoPolepole, pambana chama kipate ushindi, kukimbilia Tume inaonyesha ngoma ngumu.
Walikuwa wanaanza na kile kishio. Kinaliwa kinaisha, wanaenda kwenye kichwa. Wanakula hadi kinatoboka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Maisha haya.....[emoji2297][emoji2297]Si unakumbuka mkuu, wakati wa paper ukiona mtu ameanza kutafuna kizibo cha peni, ujue tayar kanasa.....
Unafahamu maana ya nguvu ya umma?! Unadhani hao kwenye mikutano ya Lissu wenu ndiyo nguvu ya umma?! Unadhani kumuua Mlelwa ndiyo nguvu ya umma? Unadhani kushinda mitandaoni kuandika hili la like dhidi ya JPM ndiyo nguvu ya umma? Hujui nguvu ya umma wewe....fanyeni fujo after October 28th ndipo muone nguvu ya umma...Nguvu ya umma vs nguvu ya waliokula wakashiba wakavimbiwa.