Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Huyu kilaza ndiye atende haki!? You must be out of your mind.
Huyu ni Manager kampeni wa chama gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kilaza ndiye atende haki!? You must be out of your mind.
Pole pole ni muajiriwa wa CCM ambaye ka kweli ni liability.Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Kama vipi Polepole apeleke copy ya barua aliyobakinayo maana tume wanachelewesha ya kwao.Huyu asiyejulikana ni mzee ama kijana yupo sawa kweli? Lissu kasema hajapata barua rasmi toka Tume ya wito sasa cha ajabu ni kipi? basi kama anayo aipeleke yeye. Lissu ataogopaje kwenda Tume kama ana formal letter ya wito?
Mzee hii ni Tume ya Taifa ya uchaguzi ina kanuni na maadii yake na si tume ya CCM.
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Alimtishia Maalim sasa kahamia kwa Lissu? Yeye ni nani hasa? Hovyoooooooooooooooooooooo...
Polepole alipata unyafuzi katika hatua za ukuaji wake. Ndio maana unaona hali yake ilivyo. Unyafuzi hushambulia ubongo. Ni wa kumhurumia.Hapa Polepole anatuthibitishia kuwa NEC imepewa maagizo na CCM, sasa endapo NEC hawatatekeleza maagizo watafikuzwa kazi, Polepole hajui kuficha siri.
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona huyo boya wenu tobo Lissu ameishurutisha time imuite Majaliwa.Polepole ni tatizo nchi hii. Watu hawalioni hili lakini ni kiumbe hatari sana. Kwanini anamtishia Lissu? Kwanini anataka kuishurutisha tume 'huru' itende kama anavyotaka yeye Polepole? Huyu atasababisha watu wachukue sheria mkononi dhidi yake au dhidi ya Mahera.
Huyu ni mtu aliyechangia sana kumdanganya rais wakati wa kampeni ya nunuanunua ya wapinzani akimuaminisha mwenyekiti wake kwamba upinzani umekufa. Kumbe alimuonyesha maiti tofauti.
Asijibaraguze, atulie ale makofi kutoka kwa mwenyekiti wake na kujibu maswali yake kwa ufasaha.
achana na mjinga huyoPolepole ni mwendawazimu. Wewe utawezaje kumwambia mgombea wa chama kingine kilicho sawa na chako, eti ole wako. Wewe ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole ni shogaPolepole siku hizi ni msemaji wa tume?
Huyu chakubanga naona hajui mipaka yake ya kaziMwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama chake kinataka kuona Tume ya Uchaguzi ikitenda haki na Ole wake Tundu Lissu kama hataitikia ama kukaidi wito wa tume.
Chanzo: TBC
My take; Huu ndio wakati wa kuona makali ya Tume, naunga mkono.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona hiyo shuruti ya Lissu tume haijatekeleza kama ambavyo imetekeleza shuruti ya ccm kumuita Lissu. Mnajifanya tume ni yenu, mtakunya safari hii. Tume na ccm kwasababu ni wapenzi, mtazikwa kaburi moja muendelee kupendana huko.Mbona huyo boya wenu tobo Lissu ameishurutisha time imuite Majaliwa.
Unajua CDM nyie ni wapuuzi sana yaani mnajiona nyinyi ndiyo mna haki.